Whitepanther
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 289
- 458
Njoo pm nimekuchekAnza dear
kikubwa usafi, ipende kazi yako, pika vizuri weka chakula chako vizuri usafi wa mwili mpaka biashara yako.
all the best!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo pm nimekuchekAnza dear
kikubwa usafi, ipende kazi yako, pika vizuri weka chakula chako vizuri usafi wa mwili mpaka biashara yako.
all the best!
Kwa buku na bei ya unga sasa itakukata walau buku jexWakuu,
Nataka nianze kuuza ugali na dagaa mchele wale wa kukaanga, nitaweka na kachumbari kunogesha au mboga za majani.
Nimefikiria ugali na nyama ya kukaanga lakini nimeona itanikost sana kwenye nyama.
Kwahiyo mbadala nimeona ni dagaa mchele ambao kuwapata ni hapa hapa Kigamboni.
Kuna mwenye uzoefu na hii biashara?
Nimefikiria nikauzie sehemu wanayouza chakula bei juu, mimi nipeleke pale kwa Buku ni ugali, dagaa mchele na kachumbari.
Umeshaanza?Mtaji wa laki utanitosha, sufuria kubwa kwa ajili ya kupikia ugali, kikaangio cha samaki, sahani, benchi na meza.
Alafu tafuta pilipili ya kukaanga,uweke na maparachichi ya kuuza pembeni unanitoa mateEwaaaah, hapo kwenye roast la bamia na nyanya chungu ndio penyewe kabisa.