Kwahiyo nini kama Mwanza wameanza siku nyingi? Asifanye hiyo biashara au? Mchawi weweMwanza hiyo biashara mbona ya siku nyingi
Asubuhi unapata ugali na dagaa Mchele bei buku
Wewe ndio unaota leo
Ewaaaah, hapo kwenye roast la bamia na nyanya chungu ndio penyewe kabisa.Anza haraka sana mambo mengine yatakaa sawa mbele ya safari huko kwa kuongezea wachanganye kwa kuwapa rosti la nyanya chungu na bamia na maji ya kandoro bure.Simu moja tu mkuu tukutane benki.
Mwanza hakuna dagaa mchele.Mwanza hiyo biashara mbona ya siku nyingi
Asubuhi unapata ugali na dagaa Mchele bei buku
Wewe ndio unaota leo
Kuna mwenye uzoefu na hii biashara?
Nimefikiria nikauzi
Anaongea kitu ambacho kipo tayari kama ni kitu kipya !! Ameuliza uzoefu ndio nikampa mfano wa mkoa wa Mwanza ugali dagaa Mchele uko kila kona mijini na vijijini na bei yake ni elfu moja kwa sahani.Kwahiyo nini kama Mwanza wameanza siku nyingi? Asifanye hiyo biashara au? Mchawi wewe
Dagaa dagaa tu awe Mchele nk ni dagaa tu tofauti ukubwa tuMwanza hakuna dagaa mchele.
Kwenda zako. Umemwambia "wewe ndio inaota leo?". Halafu umeshaona anauliza kwa wazoefu wamwelekeze maana yake anajua sio kitu kipya ndio maana ameulizia wenye uzoefu.Anaongea kitu ambacho kipo tayari kama ni kitu kipya !! Ameuliza uzoefu ndio nikampa mfano wa mkoa wa Mwanza ugali dagaa Mchele uko kila kona mijini na vijijini na bei yake ni elfu moja.