Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,715
- 8,058
- Thread starter
- #21
Thank you Comrade.
Mkuu ningeshauri usianze kabisa kubet kwa sababu;
.
Ni kinyume na amri ya Mungu katika vitabu vyote vya Wakristo na waislam.
.
Ni mchezo wa Bahati na sibu hivyo huwezi kutengeneza kipato cha uhakika.
.
Ukicheza sana utakuwa addicted, hapo ndio balaa zaidi. Unaweza kufika mahali ukauza kila kitu chako ili tu ukabet kwa matarajio kwamba nitapata.