geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,223
Wakuu kuna uzi jinsi gani ulianza kuishi ghetto humu. Umenivutia nimeona nichukue room nione maisha yakoje ombi langu kama kuna dalali pande za Ubungo, Kimara na Mwenge anisaidie nipate chumba nianze maisha.
Kama kutakuwa na dalali anicheki PM tuyajenge nataka chumba kuanzia elfu 50 na kuendelea.
ASANTE
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kutakuwa na dalali anicheki PM tuyajenge nataka chumba kuanzia elfu 50 na kuendelea.
ASANTE
Sent using Jamii Forums mobile app