Nataka nianze kununua bidhaa mtandaoni kutokea China. Nomba mwenye uelewa wa manunuzi mtandaoni anijuze

Nataka nianze kununua bidhaa mtandaoni kutokea China. Nomba mwenye uelewa wa manunuzi mtandaoni anijuze

Alibaba Bei ya usafirishaji Iko juu sana kwa mizigo michache,Ndio maana sana sana ni kwa ajili ya jumla sio rejareja
Alibaba hawasafirishi. Ukishanunua wanakuuliza kama unaye msafirishaji. Alibaba ni ama wauzaji au wazalishaji tu. Ni duka la jumla na rejareja online. Ughali wa usafirishaji hutegema msafirishaji kuleta Tz.
 
Wakuu habari,

Nataka nianze kununua bidhaa mtandaoni hasa kutokea nchini China. Sijawahi kufanya hivyo kabla hivyo naomba mwenye uelewa kidogo anijulishe.

Mfano, nimeona kuna app ya ebay na alibaba ipi itakuwa bora zaidi kuitumia? Na pia kama kuna vitu vya kuzingatia naomba nijulishwe.

Natanguliza shukrani za dhati
Kuwa makini sana sana
 
Kama ni moja Kwa china nunulia kwa AliExpress ambao ndio ya rejareja ,Alibaba wanauza sana sana jumla ..Kuna Amazon pia ya wamarekani,ebay ....

Nirejee kwenye Mada AliExpress Unapakua TU app yao ,halafu unajisajili (Jina,Barua pepe na taarifa nyingine muhimu).Ukishamaliza utatafuta bidhaa unayoipenda zingatia sana sana koment na review nzuri za muuzaji pia katika bidhaa unayoichagua ,Unapomaliza utalipia na utaambiwa ujaze taarifa za kusafirishia(Shipping details) kama ulishajaza mwanzo haina shida kama bado utajaza vizuri ukisubiri mzigo wako.

Ukiwa na changamoto yoyote usisite kuuliza ni hayo tu
Vipi kuhusu Kodi mzigo ukifika nchini?
 
Back
Top Bottom