Kabla ya kuangalia biashara itakayokupa faida kwa haraka naomba nikushauri kidogo
Ili ufanikiwe kwenye biashara lazima uwe na nidhamu na matumizi yako
Nakushauri iyo laki mbili nunua vocha yakurusha kwanza hapo haina faida sana lakini ni njia moja wapo ya kujifunza jinsi ya kuzuia matumizi yako
Ukiweza kukaa na biashara iyo zaidi ya miezi mitatu bila kudhuru mtaji basi utakua umekomaa
Kwanza kwa hapo chuoni utakua umeshajijengea jina,uta Julikana na watu wengi kwaiyo hata ukija kuanzisha biashara nyingine
Mimi huwa naamini na nitaendelea kuamini kua mtaji
wa biashara yoyote ile ni wateja na sio bidhaa,
Safi sana nami umeniongezea changamoto katika maisha barikiwa sana mkuuSafi sana dogo,
Una laptop? kama unayo unaweza kufanya yafuatayo;
1. Nunua printer, kisha unaweka chumbani kwako. Wanafunzi wenzako wote ambao mpo block moja uwafahamishe kuwa una print, mlango wa chumba chako weka tangazo kuwa una print pamoja na namba yako ya simu. Wale wanafunzi wote wazima moto watakuwa wanakuja kwako kuprint usiku na weekend ukiwepo. Hulipii umeme wala frem, printer za laki mbili zipo kibao tu.
2. Hiyo ya kwanza ikienda vizuri save pesa, nunua printer ya kuprint picha (vile vidogo havizidi laki mbili) kisha nunua camera yako unaanza kupiga wanafunzi wenzio passport size za dakika tatu. First year wakifungua chuo unaweza kuongea na bank iliyokaribu nawewe unakaa nje ya bank kwaajili ya kupiga passport size wanafunzi
3. Hiyo moja na mbili zikifanikiwa uwe unakusanya pesa, baada ya muda fulani weka tigo pesa na mpesa chumbani kwako. Wakija kuprint wanatoa na pesa.
Sikuwa na akili hiyo chuo, ningekuwa nayo ningekuwa sijawahi kutembeza CV, usifanye makosa tuliyoyafanya kaka zako. Kila la kheri dogo
wakati wa kulima uende, wakati wa kupanda uende na uwe na tabia ya kwenda shamba mara kwa mara. kilimo cha remote control kutegemea kutuma pesa na kula faida utakuja kulia kilio cha kusaga na mawe, utaona ni bora ungenunua iPhone. Kilimo kinahitaji usimamizi na sio kutuma pesa tu, sikukatishi tamaa bali nakuelezea uhalisiaKwa vile unamawazo kama yangu naomba nami nikuoe wazo ambalo mimi nimefanya.
mimi ni mwaka wa kwanza na nilichokifanya baada tu ya kuchuku boom ya kwanza nikatuma 600000 sehem kwa ajiri ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga uko morogoro ambapo nitalima hekari 2 kwa hela izo ni kuanzia kukod shamba mbegu,dawa,na kulima, nikirud kwako inakubd uangalie wewe kama wew ufanyaje kulingana na mazingira unayotoka,pamoja na mahitaji ya wanaokuzunguka.
Mwisho hongera kwa kuamua kuandaa mazingira ya kujiajiri .
si kweli, acha kumfundisha uoga. Asifanye biashara za kusafiri akawa anakosa masomo na test, anaweza asiwe A student akawa C student lakini sio kudisco maana ili udisco chuo kunahitaji juhudi kubwa na maarifa.Biashara zinachanganya sana ubongo mdogo wangu. Kufanya ujasiriamali ukiwa chuo ni kujitafutia kudisco tu!
Safi sana dogo,
Una laptop? kama unayo unaweza kufanya yafuatayo;
1. Nunua printer, kisha unaweka chumbani kwako. Wanafunzi wenzako wote ambao mpo block moja uwafahamishe kuwa una print, mlango wa chumba chako weka tangazo kuwa una print pamoja na namba yako ya simu. Wale wanafunzi wote wazima moto watakuwa wanakuja kwako kuprint usiku na weekend ukiwepo. Hulipii umeme wala frem, printer za laki mbili zipo kibao tu.
2. Hiyo ya kwanza ikienda vizuri save pesa, nunua printer ya kuprint picha (vile vidogo havizidi laki mbili) kisha nunua camera yako unaanza kupiga wanafunzi wenzio passport size za dakika tatu. First year wakifungua chuo unaweza kuongea na bank iliyokaribu nawewe unakaa nje ya bank kwaajili ya kupiga passport size wanafunzi
3. Hiyo moja na mbili zikifanikiwa uwe unakusanya pesa, baada ya muda fulani weka tigo pesa na mpesa chumbani kwako. Wakija kuprint wanatoa na pesa.
Sikuwa na akili hiyo chuo, ningekuwa nayo ningekuwa sijawahi kutembeza CV, usifanye makosa tuliyoyafanya kaka zako. Kila la kheri dogo
Kwa vile unamawazo kama yangu naomba nami nikuoe wazo ambalo mimi nimefanya.
mimi ni mwaka wa kwanza na nilichokifanya baada tu ya kuchuku boom ya kwanza nikatuma 600000 sehem kwa ajiri ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga uko morogoro ambapo nitalima hekari 2 kwa hela izo ni kuanzia kukod shamba mbegu,dawa,na kulima, nikirud kwako inakubd uangalie wewe kama wew ufanyaje kulingana na mazingira unayotoka,pamoja na mahitaji ya wanaokuzunguka.
Mwisho hongera kwa kuamua kuandaa mazingira ya kujiajiri .
Kama ni mtoto wa kike tafadhali fata ushauri huu, start up capital ni ndogo sana na return yake ni kubwa. Safi sana mdauKama ni mdada naona kuna opportunity kwa sasa ukiwa chuo unaweza kufanya japo inahitaji kidogo upate mafunzo, kwa upande wa kina dada zetu kwa sasa make up imeshika kasi sana kama unavyojua chuoni sherehe hazikosekani kama picnic, wengine wanatoka out hasa siku za weekend unaweza kuwa unawafanyia make up kabla hawajaenda kwenye mitoko yao na ukatengeneza pesa kwa muda huo wa ziada! but inatakiwa upate mafunzo namna ya kuwaremba kulingana na ngozi zao then ukishaelewa unanunua vitendea kazi! yangu ni hayo kwa sasa!
Ila hapo ken makosa hapana.... Hamna kosa mlofanya hata hela ya boom kama ndo targeted capital sio nyingi aisee sema kama unataka kufanikiwa lzm ujibane SanaSafi sana dogo,
Una laptop? kama unayo unaweza kufanya yafuatayo;
1. Nunua printer, kisha unaweka chumbani kwako. Wanafunzi wenzako wote ambao mpo block moja uwafahamishe kuwa una print, mlango wa chumba chako weka tangazo kuwa una print pamoja na namba yako ya simu. Wale wanafunzi wote wazima moto watakuwa wanakuja kwako kuprint usiku na weekend ukiwepo. Hulipii umeme wala frem, printer za laki mbili zipo kibao tu.
2. Hiyo ya kwanza ikienda vizuri save pesa, nunua printer ya kuprint picha (vile vidogo havizidi laki mbili) kisha nunua camera yako unaanza kupiga wanafunzi wenzio passport size za dakika tatu. First year wakifungua chuo unaweza kuongea na bank iliyokaribu nawewe unakaa nje ya bank kwaajili ya kupiga passport size wanafunzi
3. Hiyo moja na mbili zikifanikiwa uwe unakusanya pesa, baada ya muda fulani weka tigo pesa na mpesa chumbani kwako. Wakija kuprint wanatoa na pesa.
Sikuwa na akili hiyo chuo, ningekuwa nayo ningekuwa sijawahi kutembeza CV, usifanye makosa tuliyoyafanya kaka zako. Kila la kheri dogo
umeniwah,,,kilimo na ufugaji sio kutuma tuma pesa tu, yalinikuta mwaka jana,mwaka huu sifanyi makosa.wakati wa kulima uende, wakati wa kupanda uende na uwe na tabia ya kwenda shamba mara kwa mara. kilimo cha remote control kutegemea kutuma pesa na kula faida utakuja kulia kilio cha kusaga na mawe, utaona ni bora ungenunua iPhone. Kilimo kinahitaji usimamizi na sio kutuma pesa tu, sikukatishi tamaa bali nakuelezea uhalisia
mkuu,angaliiaaa, pesa Mwanaharamuu sanaaKwa vile unamawazo kama yangu naomba nami nikuoe wazo ambalo mimi nimefanya.
mimi ni mwaka wa kwanza na nilichokifanya baada tu ya kuchuku boom ya kwanza nikatuma 600000 sehem kwa ajiri ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga uko morogoro ambapo nitalima hekari 2 kwa hela izo ni kuanzia kukod shamba mbegu,dawa,na kulima, nikirud kwako inakubd uangalie wewe kama wew ufanyaje kulingana na mazingira unayotoka,pamoja na mahitaji ya wanaokuzunguka.
Mwisho hongera kwa kuamua kuandaa mazingira ya kujiajiri .
[emoji122] [emoji122] nmekuelewa mkuumkuu,angaliiaaa, pesa Mwanaharamuu sanaa