Nataka nianze ujasiriamli nikiwa chuo

Nataka nianze ujasiriamli nikiwa chuo

Fanya kama mm utafanikiwa.

1. Acha kusoma chuo.
2. Tumia hizo hela laki 2.
3. Fanya starehe ya kila aina na kadri uwezavyo.
4. Hela zikiisha utapata akili mpya ya kutafuta pesa nyingine.
5. Ukishapata hzo hela save na fungua biashara uitakayo.
6. Kadri unavyotumia pesa ndiyo kadri unavyopata akili ya kupata pesa nyingi zaidi.....

[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119]
 
Safi sana dogo,

Una laptop? kama unayo unaweza kufanya yafuatayo;

1. Nunua printer, kisha unaweka chumbani kwako. Wanafunzi wenzako wote ambao mpo block moja uwafahamishe kuwa una print, mlango wa chumba chako weka tangazo kuwa una print pamoja na namba yako ya simu. Wale wanafunzi wote wazima moto watakuwa wanakuja kwako kuprint usiku na weekend ukiwepo. Hulipii umeme wala frem, printer za laki mbili zipo kibao tu.
2. Hiyo ya kwanza ikienda vizuri save pesa, nunua printer ya kuprint picha (vile vidogo havizidi laki mbili) kisha nunua camera ya unaanza kupiga wanafunzi wenzio passport size za dakika tatu. First year wakifungua chuo unaweza kuongea na bank iliyokaribu nawewe unakaa nje ya bank kwaajili ya kupiga passport size wanafunzi
3. Hiyo moja na mbili zikifanikiwa uwe unakusanya pesa, baada ya muda fulani weka tigo pesa na mpesa chumbani kwako. Wakija kuprint wanatoa na pesa.

Sikuwa na akili hiyo chuo, ningekuwa nayo ningekuwa sijawahi kutembeza CV, usifanye makosa tuliyoyafanya kaka zako. Kila la kheri dogo
Nzuri sana hii
 
kuongezea tu, ukishakua bize na shuuli zako hua kuna kusahau kipi hasa kimekuleta pale, uta disco, au kupata masup mengi, jarib ku balance mda wako vizuri katika shule/biashara
ni hayo tu


Asante mkuu balance on point
 
Nahusika na kutengeneza na kuuza viatu vya ngozi, Jumla na rejareja...

Ukipenda na kuridhia unaweza kuwa Agent hapo Chuo nikawa nakutumia viatu unaviuza, hasa unatarget boom likishatoka..

Ntakuwa nakupa kwa Bei ya Jumla, Staff za kawaida ntakuuzia kwa 22,000. Ambapi Travolta na Safari Boot ntakuuzia kwa 25,000/= kuanzia 10 Pieces..

Unaweza kuchukuwa samples hata 5 utakafanya market testing..
Hizo tano ntakuuzia kwa bei ya rejareja @ 25,000/- Kwa staff za kawaida. 28,000/= Kwa Travolta na Safari Boot.
Nakuwekea samples uzione, ukipenda tuwasiliane kwa 0624 060 662..
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2017-10-29 at 11.04.10.jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-29 at 11.04.10.jpeg
    79.5 KB · Views: 52
  • WhatsApp Image 2017-10-29 at 07.32.30.jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-29 at 07.32.30.jpeg
    13.8 KB · Views: 53
  • WhatsApp Image 2017-10-29 at 10.17.56 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-29 at 10.17.56 (1).jpeg
    58 KB · Views: 53
  • WhatsApp Image 2017-10-29 at 10.17.56.jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-29 at 10.17.56.jpeg
    66.1 KB · Views: 54
  • WhatsApp Image 2017-10-29 at 07.32.03.jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-29 at 07.32.03.jpeg
    20.7 KB · Views: 54
  • WhatsApp Image 2017-10-29 at 11.04.17.jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-29 at 11.04.17.jpeg
    82.4 KB · Views: 46
  • WhatsApp Image 2017-10-10 at 21.55.14 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2017-10-10 at 21.55.14 (1).jpeg
    97.9 KB · Views: 50
Nahusika na kutengeneza na kuuza viatu vya ngozi, Jumla na rejareja...

Ukipenda na kuridhia unaweza kuwa Agent hapo Chuo nikawa nakutumia viatu unaviuza, hasa unatarget boom likishatoka..

Ntakuwa nakupa kwa Bei ya Jumla, Staff za kawaida ntakuuzia kwa 22,000. Ambapi Travolta na Safari Boot ntakuuzia kwa 25,000/= kuanzia 10 Pieces..

Unaweza kuchukuwa samples hata 5 utakafanya market testing..
Hizo tano ntakuuzia kwa bei ya rejareja @ 25,000/- Kwa staff za kawaida. 28,000/= Kwa Travolta na Safari Boot.
Nakuwekea samples uzione, ukipenda tuwasiliane kwa 0624 060 662..
Mkuu FAJES nmeshachukua namba ako na nimejaribu kukupigia hujapokea me nipo tayar tutafanya biashar lakin kuanzia mwez wa tatu kwa maana saiv pesa nmeiwekeza kwenye miradi mingine kwaiyo kufkia huo mda nitakua tayar nishapata pesa tena
 
Mkuu FAJES nmeshachukua namba ako na nimejaribu kukupigia hujapokea me nipo tayar tutafanya biashar lakin kuanzia mwez wa tatu kwa maana saiv pesa nmeiwekeza kwenye miradi mingine kwaiyo kufkia huo mda nitakua tayar nishapata pesa tena
Sawa Mkuu. Karibu sana..
 
Nahusika na kutengeneza na kuuza viatu vya ngozi, Jumla na rejareja...

Ukipenda na kuridhia unaweza kuwa Agent hapo Chuo nikawa nakutumia viatu unaviuza, hasa unatarget boom likishatoka..

Ntakuwa nakupa kwa Bei ya Jumla, Staff za kawaida ntakuuzia kwa 22,000. Ambapi Travolta na Safari Boot ntakuuzia kwa 25,000/= kuanzia 10 Pieces..

Unaweza kuchukuwa samples hata 5 utakafanya market testing..
Hizo tano ntakuuzia kwa bei ya rejareja @ 25,000/- Kwa staff za kawaida. 28,000/= Kwa Travolta na Safari Boot.
Nakuwekea samples uzione, ukipenda tuwasiliane kwa 0624 060 662..
Nimependa bidhaa zako nimechukua namba namba tutawasiliana.
Kama ikiwezekana tuanzishie Uzi ma utuonyeshe sampo zote tunaweza kufanya biashara
 
Nimependa bidhaa zako nimechukua namba namba tutawasiliana.
Kama ikiwezekana tuanzishie Uzi ma utuonyeshe sampo zote tunaweza kufanya biashara
Mkuu karibu sana, tayari uzi upo Jukwaa la Matangazo madogo madogo. Unaitwa " Tunauza bidhaa za ngozi original kwa bei nafuu"..
 
Mkuu karibu sana, tayari uzi upo Jukwaa la Matangazo madogo madogo. Unaitwa " Jipatie bidhaa za ngozi original kwa bei nafuu"..
Asante ntapitia kaka, thank you for your response.
 
Habari zenu wana jamvi mimi ni mwanachuo wa mwaka wapili apa UDOM kwasasa nina 200,000/= ambayo nataitafutia kibiashara au shughuri yoyote ya ku invest hii pesa ili inizararishie na huu ndio utakuwa mwanzo wangu wa kufanya kwa vitendo na kuwacha day dream tu

Nawasilisha

NB: Biashara hiyo sio lazima iwe ndani ya chuo ata nje ya chuo
Soma kwanza , ukianza ujasilia Mali na kusoma kiukweli na siyo uwoga ila ujue Mda hautoshi kabisa
 
Nahusika na kutengeneza na kuuza viatu vya ngozi, Jumla na rejareja...

Ukipenda na kuridhia unaweza kuwa Agent hapo Chuo nikawa nakutumia viatu unaviuza, hasa unatarget boom likishatoka..

Ntakuwa nakupa kwa Bei ya Jumla, Staff za kawaida ntakuuzia kwa 22,000. Ambapi Travolta na Safari Boot ntakuuzia kwa 25,000/= kuanzia 10 Pieces..

Unaweza kuchukuwa samples hata 5 utakafanya market testing..
Hizo tano ntakuuzia kwa bei ya rejareja @ 25,000/- Kwa staff za kawaida. 28,000/= Kwa Travolta na Safari Boot.
Nakuwekea samples uzione, ukipenda tuwasiliane kwa 0624 060 662..
Mkuu, piga picha classic za bidhaa zako. Unapiga picha then background yake iwe nyeupe kabisa. Kuna soko nimelitarget naweza kupata kazi tufanye biashara pia hata kwako itakusaidia kutangaza kwakuwa tangazo litakuwa na mvuto, lifanyie kazi haraka kisha unicheki inbox
 
Habari zenu wana jamvi mimi ni mwanachuo wa mwaka wapili apa UDOM kwasasa nina 200,000/= ambayo nataitafutia kibiashara au shughuri yoyote ya ku invest hii pesa ili inizararishie na huu ndio utakuwa mwanzo wangu wa kufanya kwa vitendo na kuwacha day dream tu

Nawasilisha

NB: Biashara hiyo sio lazima iwe ndani ya chuo ata nje ya chuo
Kanunue Saa Qnet upate laki nne
 
Yaap kilimo ndio target yangu kuu na ndomana nataka nikusanye mtaji niingie kwenye iyo field ya kilimo
Unapoingia kwenye hiyo fursa hakikisha una mtu unayemwamini ili aweze kusimamia shughuli zako unaweza ukampa 25% ya mapato ya mavuno .....ikifanya hivo utafika pazuri
 
Safi sana dogo,

Una laptop? kama unayo unaweza kufanya yafuatayo;

1. Nunua printer, kisha unaweka chumbani kwako. Wanafunzi wenzako wote ambao mpo block moja uwafahamishe kuwa una print, mlango wa chumba chako weka tangazo kuwa una print pamoja na namba yako ya simu. Wale wanafunzi wote wazima moto watakuwa wanakuja kwako kuprint usiku na weekend ukiwepo. Hulipii umeme wala frem, printer za laki mbili zipo kibao tu.
2. Hiyo ya kwanza ikienda vizuri save pesa, nunua printer ya kuprint picha (vile vidogo havizidi laki mbili) kisha nunua camera yako unaanza kupiga wanafunzi wenzio passport size za dakika tatu. First year wakifungua chuo unaweza kuongea na bank iliyokaribu nawewe unakaa nje ya bank kwaajili ya kupiga passport size wanafunzi
3. Hiyo moja na mbili zikifanikiwa uwe unakusanya pesa, baada ya muda fulani weka tigo pesa na mpesa chumbani kwako. Wakija kuprint wanatoa na pesa.

Sikuwa na akili hiyo chuo, ningekuwa nayo ningekuwa sijawahi kutembeza CV, usifanye makosa tuliyoyafanya kaka zako. Kila la kheri dogo

nice idea
 
Unapoingia kwenye hiyo fursa hakikisha una mtu unayemwamini ili aweze kusimamia shughuli zako unaweza ukampa 25% ya mapato ya mavuno .....ikifanya hivo utafika pazuri

Bahati nzuri kwenye kilimo anayeaminika ni Mungu pekee. Hapa binaadamu hafai maana kilimo cha style yake hakima muamana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tumpe tahadharu tu mkuu kuwa kilimo cha remote kinataka moyo wa ujasiri na akili ya hali juu isiyo yumbishwa na stress. Kila la kheri mkuu
 
Back
Top Bottom