Nataka niapeall mkopo heslb

slab

Senior Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
119
Reaction score
27
Habar wana jf natumain mu wazma ,nlikuwa naulza hiv inawezakana kwa mtu aliyeomba mkopo mwaka jana ambaye alikosa au kupata kidogo aka apeal tena ili aweze kupata kwa ajil ya ada akapataa ?? Nsaidien wakuu maana hali ni mbaya mno
 
Sio appeal 2 unaweza kupata zaidi b'coz hukuomba upunguziwe uliomba uongezewe but inabidi uwe fast raia wamekosa sana mda c mda board itapata wahitaj wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…