Nataka nibadilishe injini gari yangu toyota rav4j, niweke injini ipi itakayokaa vizuri

Nataka nibadilishe injini gari yangu toyota rav4j, niweke injini ipi itakayokaa vizuri

Weka engine ya Carina au Corolla 5A ina cc 1490.
Kama upo Dar nenda Ilala au kama unaweza agiza Tunduma zipo nyingi sana na gear box zinatoka Zambia na maeneo ya pale mpakani kwa bei nafuu sana.

Kitalaamu ukiweka engine ndogo na uzito wa gari ukawa mkubwa, ufanisi utakuwa mdogo. Kama ni ya kutembelea mjini utadumu nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu utashauriwa mengi lakini ushauri genuine ni huu...
Fanya ukaguzi wa kutosha kwanza kwenye maeneo haya

1.Spark plugs
2.Fuel injectors
3.Fuel pump na fuel filter.
4.Air cleaner, Air MAF sensor pamoja na throat body
5. Aina za lubricants unazotumia kwenye engine na gear box.

Hayo mambo matano niluyokutajia hapo juu kama hayana tatizo, i mean yapo sawa, na mimi nakusisitiza uza hiyo gari ikiwa hivyo hivyo ununue angalau vitz, ist, and the likes, then come later and thank us.
Ila kama pochi ina mbavu nene, uza kwa bei ya hasara, kisha agiza RaV 4 nyingine endapo you are still fall in love with RAV 4.

Lakini kama unahitaji stress mpya katika maisha ya gari, badili engine kutoka 1998 cc mpka 1490cc
kwa ukubwa na uzito wa lile body la RAV 4 bila kusahau mafundi wetu hawajabobea katika kubadili aina moja ya engine kwenda aina nyingine.

Kumbuka ukibadili injini hiyo uliyotaja, pia ECU itahitaji kubadilishwa ili iendane na engine iliyofungwa.

THIS IS A FREE ADVISE...YOU MAY TAKE IT...OR LEAVE IT


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu utashauriwa mengi lakini ushauri genuine ni huu...
Fanya ukaguzi wa kutosha kwanza kwenye maeneo haya

1.Spark plugs
2.Fuel injectors
3.Fuel pump na fuel filter.
4.Air cleaner, Air MAF sensor pamoja na throat body
5. Aina za lubricants unazotumia kwenye engine na gear box.

Hayo mambo matano niluyokutajia hapo juu kama hayana tatizo, i mean yapo sawa, na mimi nakusisitiza uza hiyo gari ikiwa hivyo hivyo ununue angalau vitz, ist, and the likes, then come later and thank us.
Ila kama pochi ina mbavu nene, uza kwa bei ya hasara, kisha agiza RaV 4 nyingine endapo you are still fall in love with RAV 4.

Lakini kama unahitaji stress mpya katika maisha ya gari, badili engine kutoka 1998 cc mpka 1490cc
kwa ukubwa na uzito wa lile body la RAV 4 bila kusahau mafundi wetu hawajabobea katika kubadili aina moja ya engine kwenda aina nyingine.

Kumbuka ukibadili injini hiyo uliyotaja, pia ECU itahitaji kubadilishwa ili iendane na engine iliyofungwa.

THIS IS A FREE ADVISE...YOU MAY TAKE IT...OR LEAVE IT


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mwamba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mwamba!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa jembe letu umeshapata ushauri wa kutosha na bila shaka utaufanyia kazi kuhusu hili gari lako. Kwa huu muda uliobaki, tunakusihi ufanye maandalizi ya kutosha kuelekea nusu fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya Lipuli. Hatutakuelewa sisi mashabiki wa Yanga iwapo utakubali tena kutunguliwa kwa ule umbali wa mita 30!

Utusaidie aisee ili tuweze kuchukua ubingwa wa kombe la shirikisho mwaka huu. Usisahau kosa moya goli moya! (in Zahera's voice)
 
Wadau, natumia old model Rav4J yenye Cc1998,kiukweli upande Wa mafuta sijaridhika na unywaji wake, ni jini, sasa naomba ushauri Wa kitaalamu nataka nibadilishe injini, injini ipi ambayo ina cc zisizozid 1500 ambayo itakaa vzr, naomba mawazo yenu please!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua gharama za kubadilisha injini halafu igawanye kwa muda wa maisha uliosalia wa hilo gari ndio uone kama ni wazo zuri au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu utashauriwa mengi lakini ushauri genuine ni huu...
Fanya ukaguzi wa kutosha kwanza kwenye maeneo haya

1.Spark plugs
2.Fuel injectors
3.Fuel pump na fuel filter.
4.Air cleaner, Air MAF sensor pamoja na throat body
5. Aina za lubricants unazotumia kwenye engine na gear box.

Hayo mambo matano niluyokutajia hapo juu kama hayana tatizo, i mean yapo sawa, na mimi nakusisitiza uza hiyo gari ikiwa hivyo hivyo ununue angalau vitz, ist, and the likes, then come later and thank us.
Ila kama pochi ina mbavu nene, uza kwa bei ya hasara, kisha agiza RaV 4 nyingine endapo you are still fall in love with RAV 4.

Lakini kama unahitaji stress mpya katika maisha ya gari, badili engine kutoka 1998 cc mpka 1490cc
kwa ukubwa na uzito wa lile body la RAV 4 bila kusahau mafundi wetu hawajabobea katika kubadili aina moja ya engine kwenda aina nyingine.

Kumbuka ukibadili injini hiyo uliyotaja, pia ECU itahitaji kubadilishwa ili iendane na engine iliyofungwa.

THIS IS A FREE ADVISE...YOU MAY TAKE IT...OR LEAVE IT


Sent using Jamii Forums mobile app
well said.
 
Sikushauri kabisa... Utaongeza tatizo badala ya kutatua.. Hatuna mafundi mahiri kwenye ishu za kubadili engine... Between unaweza kufanya hivyo kumbe tatizo ni lingine kabisa labda gearbox, fuel pump au plugs.... Zaidi Rav 4 kiasili zinakunywa wese sasa ukiongeza na uchakavu ndio kabisa

Jr[emoji769]
Kuna mjukuu wangu aliuziwa min cooper ikiwa na engine ya IST hapo kwenu mjini
 
Back
Top Bottom