Nataka nichukue mkopo bank ninunue Dola ya marekani

Nataka nichukue mkopo bank ninunue Dola ya marekani

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Haitakulipa ndg.
Bank interests zitameza faida yako
 
Mchezo unaoenda kuucheza unaitwa FOREX

kufaidika kwa kutabiri thamani ya pesa kushuka au kupanda

Ukiingia kichwa kichwa utapiga ukunga
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Joseph kusaga amesema itashuka hadi kufikia 1 usd = 100 Tsh.
 
Mchezo unaoenda kuucheza unaitwa FOREX

kufaidika kwa kutabiri thamani ya pesa kushuka au kupanda

Ukiingia kichwa kichwa utapiga ukunga
Kufungua account ya dola kwa pesa yako haitamwangusha.

Forex sio kununua dola na kuitunza tu
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Sheria inazuia kununua fedha za kigeni kwa nia ya kuvuna faida (yaani, biashara ya kubadilisha fedha bila kibali).

Unapaswa kuwa na sababu halali, kama kusafiri nje ya nchi, kulipa ada za shule za nje, au biashara inayohitaji malipo ya kimataifa.

Fedha zote za kigeni zinapaswa kuwa zikinunuliwa na kutumika kwa hayo madhumuni maalum na yanayokubalika,

Ova
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Huo mkopo huwezi kupata kwa interest rate ya kurudisha faida labda upewe na ndugu yako, na hata ukipata hiyo hela bado kuna Limit ya Dola unazoweza kununua kutoka kwenye Bureau da change na Mabank, labda uresort kwenye Black market ambao still watakuuzia bei ya juu, piga hesabu kama bado unaona ni faida vuta mkopo wako !
 
Huo mkopo huwezi kupata kwa interest rate ya kurudisha faida labda upewe na ndugu yako, na hata ukipata hiyo hela bado kuna Limit ya Dola unazoweza kununua kutoka kwenye Bureau da change na Mabank, labda uresort kwenye Black market ambao still watakuuzia bei ya juu, piga hesabu kama bado unaona ni faida vuta mkopo
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Umechelewa broh,
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Umechelewa bro, huku blackmarket tuliomba mkopo wa Dola 20,000$ Kwa thamani 2690, sawa na 53,800,000 tukauza Kwa 2670 tukapata hasara ya 400,000, tukatumia 53,400,000 kununua Dola mtaani Kwa 2600,tukapata 20,538$ tukauza 2690 tukapata 55,248,000 , tukatumia pesa hizo Tena kununua Dola mtaani Kwa 2590 kiasi 21,330$ tuenda uza chap 57,160,000, mzukongo unaendelea tunaangukia Dola za 2500, tukapa 22,850 tukaenda uza fasta maana mzigo unaporomoka tuliuza Kwa 2590 ,tukapata 59,181,000 , ikiwa Ina shuka tukaangalia soko jipya tukanunua 23760, tukaenda uza Kenya Kwa 129ksh tukapewa 3,066,200,ksh tukapitia HOLILI tukauza pesa ya Kenya Kwa 20.4 tukapata 62,550,000 chap tununua mzigo Tena Kwa 2450 ,kiasi Cha 25300 tukakimbilia Mombasa kuuza tukarudi na 3,276,300 tuuza pesa ya Kenya Kwa 20.5 tukapata 67,165,000. Ndani ya week 3 pekee. Kwa Sasa Dola ni 2300 ,tuna dolar 28460, faida dolar 8460, ikifika mwezi wa kwanza Dola ikiendelea kushuka hatutarejesha deni lote ,ila ikipanda tutarejesha deni lote kabisa ,Ili tusije lipa riba nje wa mkopo. Kufika huko tutakua n mtaji wa 30000$ kupitia mkopo wa bank 20,000$ , blackmarket wanapiga hela
 
Umechelewa broh,

Umechelewa bro, huku blackmarket tuliomba mkopo wa Dola 20,000$ Kwa thamani 2690, sawa na 53,800,000 tukauza Kwa 2670 tukapata hasara ya 400,000, tukatumia 53,400,000 kununua Dola mtaani Kwa 2600,tukapata 20,538$ tukauza 2690 tukapata 55,248,000 , tukatumia pesa hizo Tena kununua Dola mtaani Kwa 2590 kiasi 21,330$ tuenda uza chap 57,160,000, mzukongo unaendelea tunaangukia Dola za 2500, tukapa 22,850 tukaenda uza fasta maana mzigo unaporomoka tuliuza Kwa 2590 ,tukapata 59,181,000 , ikiwa Ina shuka tukaangalia soko jipya tukanunua 23760, tukaenda uza Kenya Kwa 129ksh tukapewa 3,066,200,ksh tukapitia HOLILI tukauza pesa ya Kenya Kwa 20.4 tukapata 62,550,000 chap tununua mzigo Tena Kwa 2450 ,kiasi Cha 25300 tukakimbilia Mombasa kuuza tukarudi na 3,276,300 tuuza pesa ya Kenya Kwa 20.5 tukapata 67,165,000. Ndani ya week 3 pekee. Kwa Sasa Dola ni 2300 ,tuna dolar 28460, faida dolar 8460, ikifika mwezi wa kwanza Dola ikiendelea kushuka hatutarejesha deni lote ,ila ikipanda tutarejesha deni lote kabisa ,Ili tusije lipa riba nje wa mkopo. Kufika huko tutakua n mtaji wa 30000$ kupitia mkopo wa bank 20,000$ , blackmarket wanapiga hela
Ukiwa na akili na hesabu, kutafuta mfanyabishara anaeagiza bidhaa nje, mtafutie dolar kula shiling 10,20,50 Kwa Kila Dola,utakuja nishukuru. Kumbuka serikal Iko zingatia usiri. Use proper risk Management
 
Mimi ni forex trader. Hichi unachotaka kufanya ni forex kabisa. Kwenye forex kuna sheria moja inasema fata soko linasema nini, kamwe usifate hisia zako. Soko linasema bei ya dola inashuka kwa sasa.

Nakukumbusha pia kuwa marekani wanaendelea kushusha Interest Rate Zao, Kitu ambacho kitafanya dola kuendelea kuwa cheap. Kipindi unatumia hisia zako fikiria na haya pia.
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
feb itashuka tena, kupanda labda mwezi wa sita
 
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola.
Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375

Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1 yaweza kuwa Tsh. 2800 huko.

Nataka nitumie fursa hii ninunue angalau USD 2000 ili nije niziuze baada ya Dola kuimarika.

Nakaribisha ushauri
Ukitaka kununua dola utaambiwa haipo
 
Back
Top Bottom