wakuu samahani, najua mtaona labda mm ni mgeni humu lakini hapana. binafsi nasomaga tu hoja za wanaJF humu kwa muda mrefu.
ila leo nimekuja na hii ishu naomba ushauri wenu wa fasta; nataka niende kufungua biashara ya baa/sehemu ya kuuza vinywani/pombe/soda/nk.
asanteni.
ila leo nimekuja na hii ishu naomba ushauri wenu wa fasta; nataka niende kufungua biashara ya baa/sehemu ya kuuza vinywani/pombe/soda/nk.
asanteni.