Nataka niende kwa mumewe kumuelezea alichonifannyia

Sisi kina mama tunaelewaga watoto hata pale wanaposhindwa kutamka maneno😂😂😂 huyu alivyoandika kama mwanangu wa miaka3 kabisaaa. Sijui yeye ana umri gani
Basi tuma maan yake kweny private message
 
Mweleze yote yaliyojiri, itapendeza zaidi!
 
Ya hiyo ulioelewa ww kuhus maneno ya huy jamaa
Alifanya mapenzi dukani kwake na mke wa jirani yake.

Akamhonga nguo moja (inaonekana dogo anauza vijora au nguo za wadada) yule mwanamke akachukua viwili akamwambia anaenda kujaribisha kitakachompendeza ndio atabaki nacho na kingine atakirudisha.

Sasa tangu aondoke hajarudisha nguo moja wala mwili. Jamaa ndio anataka kwenda kumshtaki kwa mumewe.




Hawa ndio vijana tunaowakabidhi mitaji yetu na kuwalipa mishahara

Umeridhika🤔
 
Pore sana.mimi nimejijili na sijajilia na mtu.nina maduka kaliakoo moja na mwege moja.we unazani kira mtu ni kama wewe.eshima bele dad agu.eshima bele usimtuzi usiyemujua.
 
Nitumie no yako ya M pesa nikutumie hiyo hela.. Pia nitajie ni kiasi gani.. Nafanya hivi ili kulinda ndoa ya watu.. Wazungu wanatuambiaga, 'enjoy responsibily!
 
Pore sana.mimi nimejijili na sijajilia na mtu.nina maduka kaliakoo moja na mwege moja.we unazani kira mtu ni kama wewe.eshima bele dad agu.eshima bele usimtuzi usiyemujua.
Sawa Guru Guja, naomba nisamehe kwa kukukwaza 🤝🙏
 
Niko bar flan hapa nimesoma huu uzi umeniudhi sana konyagi yote imekuwa diluted kichwani naanza upya.... waiter niongozee konyagi ya size ya kati [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
 
Acha uongo.

Hakukushawishi bali Ulimshawishi wewe .


Ila Wanaume tunakuaga waongo sanaa, mara mwanamke mwenyewe kaniambie nmtombee mara nn... Kumbe uzushi mkubwa

Sisi wenyeweeg ndo tunawatia awa viumbe ktk majaribu mpaka tunakulana.

Bora ungesema, ulimla kimasihara.


Tuache hayoo.....


Nenda umwambie Mumewe, Alafu Demu aseme alikulipa hela ,umeamua kumvunjia heshima yake, na heshima ya Mumewe.

Ili uchezee mabanzi ya Uso
 
Inabidi ukue mkuu
 
usisahau kujibebea mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…