Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kuna kibiashara changu nimefungua alhamdulilah.Ila ili kifanikiwe kinaitaji Bodaboda au kirikuu.hela ya kirikuu bado sijapata.so for the time being naona nianze na Bodaboda na nitaendesha mwenyewe.naombeni huko barabarani msinigonge wakuu.
Napambana na hali yangu magufuli kasema hapa kazi tu
Ila sijui bikra yangu kama itapona tena
Hapa kuna mchumba gani anatafutwa kwa mfano?Pole yao wanaokuja Jf kutafuta wachumba!
Zote mkuuBikira ipi imebaki...
Zote mkuu
Kwani bikra ipo huko?Masikio na tundu za pua?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Bikira ipi imebaki...
Si zipo mbili Mkuu. Labda Ile ya barabara ya vumbiBikira ipi imebaki...
Acha tu yaani.itafaa tena kweli?hahahaha kwa hyo unaogopa kujitatua malinda mwenyewe
Naona umesamaraiziBikira
Biashara
Bodaboda
Magufili
Kirikuu
Naomba kuwasilisha......
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
To make long story short.... tehteehhhNaona umesamaraizi