Nataka Nifanye hii Biashara, Wazoefu Tusaidiane

Nataka Nifanye hii Biashara, Wazoefu Tusaidiane

Achana na ma muvi kachukue kozi ya kutengeneza simu halafu fungua office classic utapiga hela mpaka uchanganyikiwe.
Ukipata wateja 10 tu kwa siku 100,000 haikukosi,si unajua kwenye ufundi simu hata MTU awe mjanja vipi ukimwambia kiasi Fulani cha hela abishi.
juzi nilikuwa kariakoo jengo la infix kuna jamaa ni fundi akaja na simu akamwonyesha mwenzie ,kuna kama waya uliachia simu ikagoma kuwaka, fundi akajadili wampige mteja bei gani
mwisho mteja akatajiwa 100000
akalialia akatoa 70,000 kwa kulipia kufungua na kugundisha waya basiii
 
juzi nilikuwa kariakoo jengo la infix kuna jamaa ni fundi akaja na simu akamwonyesha mwenzie ,kuna kama waya uliachia simu ikagoma kuwaka, fundi akajadili wampige mteja bei gani
mwisho mteja akatajiwa 100000
akalialia akatoa 70,000 kwa kulipia kufungua na kugundisha waya basiii
Doh[emoji16]
 
Ukiwa na wazo lililojitosheleza hivyo usirudi nyuma likaishia njiani, no matter what malizia plan zako, kupata au kukosa mwisho wa siku yote maisha, muhimu ni kufanya jambo.
 
Ukiwa na wazo lililojitosheleza hivyo usirudi nyuma likaishia njiani, no matter what malizia plan zako, kupata au kukosa mwisho wa siku yote maisha, muhimu ni kufanya jambo.
Asante saana Mkuu..
 
juzi nilikuwa kariakoo jengo la infix kuna jamaa ni fundi akaja na simu akamwonyesha mwenzie ,kuna kama waya uliachia simu ikagoma kuwaka, fundi akajadili wampige mteja bei gani
mwisho mteja akatajiwa 100000
akalialia akatoa 70,000 kwa kulipia kufungua na kugundisha waya basiii
Watu wengi bado hawajui chochote kuhusu cmu ndo mana mafundi wanatake advantage,,assume cmu inagoma kuwaka data mtu anapeleka kwa fundi[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Achana na ma muvi kachukue kozi ya kutengeneza simu halafu fungua office classic utapiga hela mpaka uchanganyikiwe.
Ukipata wateja 10 tu kwa siku 100,000 haikukosi,si unajua kwenye ufundi simu hata MTU awe mjanja vipi ukimwambia kiasi Fulani cha hela abishi.
Hata awe waziri au injinia wa EWURA ila ikija issue ya ubovu wa simu lazma azubae
 
Asanteni sana Wadau kwa Mawazo..
 
Mkuu nimesoma pale veta electronics kozi fupi ilikuwa 240000 miezi mitatu hiyo inahusu vifaa vyote vya umeme ikiwemo simu,radio,TV,inverter na matakataka yote kama hayo hiyo ada ilikuwa 2014 ila kama hujui kabisa ukirudi penda kwenda kwa mafundi wa mtaani utakuwa vizuri zaid imenipa manufaa mengi hii kazi sema nimeacha kutokana na kuona mchongo wa nje ya elimu ila mtu akijichanganya nafanya bila ya kusahau kuwa mtundu na software
Ubarikiwe sana mkuu huku kwenye simu na electronics kwa ujumla kunafanya poa sana.
 
Anza kuifanya tuu mkuu maana biashara Ni Kama Bata ukimchunguza hautamla kwahiyo hiyo biashara usiichunguze we ifanye tu ikikataa unaachana nayo
 
Back
Top Bottom