Nataka nifanye kazi ya kusajili laini

Nataka nifanye kazi ya kusajili laini

Sasa ndio unacheka!?
amna sometime inauma had inafurahisha vijana wanaahidiwa maisha mazuri kwa kusoma miaka zaid ya 20na kitu mwisho wa sku wanatfta ajira miaka 5mpaka saba alafu baada ya kuanza kazivmiaka 5,na kuendelea anajifia sasa kuna faida gan ya kusoma hapo
 
Mi nafanya hii kaz nikichanganya na M-pesa na tigo Pesa.
Ebwana huku ni kuzur asikudanganye mtu nalaza wastan wa 14000 daily. Mwisho wa mwez commission ya 60000

Yaan
14000 * 30 = 420000
Commission =60000
Jumla/mwe 480,000

Hiyo ni usajili wa line tu bado COMMISSION ya mpesa. Karibu sana huku ni zaid ya ajira.
Kumbuka: hizo ni gharama baada ya kutoa chakula cha mchana.
 
Kazi yoyote nikazi ilimladi mkono uende kwakinywa
 
Hili ni tatizo la Watu wengi na nisha wahi kusema kinacho sababisha vijana hasa Graduate wasijiajiri ni Aibu.

Yaani mtu anaona kuliko hata auze maji stend bora ake nyumbani.

Kuna aibu zifuatazo.

- Aibu kwamba rafiki zangu watanioanaje
- Ndugu wa karibu
-Graduate wenzangu
- Baba mkwe/mama mkwe
- Mke/mme/ mchumba/demu

Mimi huwa nasema hii dunia niko pekeee nimezaliwa pekee na siku nikifa najuga peke na sitazikwa na mtu ndani ya kaburi bali nitakua peke yangu kwenye jeneza.

Siwezi acha kufanya jambo kwa sababi ya kumuogop fulani.

Usione watu wako na tai ofisini wanalipwa pesa za ajabu sana.

We piga kazi Duniani uko peke yako
 
Hili ni tatizo la Watu wengi na nisha wahi kusema kinacho sababisha vijana hasa Graduate wasijiajiri ni Aibu.

Yaani mtu anaona kuliko hata auze maji stend bora ake nyumbani.

Kuna aibu zifuatazo.

- Aibu kwamba rafiki zangu watanioanaje
- Ndugu wa karibu
-Graduate wenzangu
- Baba mkwe/mama mkwe
- Mke/mme/ mchumba/demu

Mimi huwa nasema hii dunia niko pekeee nimezaliwa pekee na siku nikifa najuga peke na sitazikwa na mtu ndani ya kaburi bali nitakua peke yangu kwenye jeneza.

Siwezi acha kufanya jambo kwa sababi ya kumuogop fulani.

Usione watu wako na tai ofisini wanalipwa pesa za ajabu sana.

We piga kazi Duniani uko peke yako
jamaa umepita mulemule
 
Nina degree ajira ni tatizo ,capital ni tatizo,kuna kaz nataka nianze kufanya kusajili lain but naogopa kuwa katisha tamaa wadogo zangu ambao nilikuwa ni mfano kwao? nifanye nn wa ndugu

Tatizo sio wewe, ila tatizo ni mfumo wa ki Afrika.

Hukujileta wewe hivyo huna haja kumuangalia mwingine zaidi yako na kizazi chako.

Mungu anamleta kila mtu kwa kusudi lake ndio maana Rich mavoko mwanamziki na kaka yake Tin white comedy.

Fanya yale utakayo jivunia wewe, mke na watoto wako, wengine hauta walidhisha hata uwe bill Gate.

Maisha ni kuchagua, chagua kuwa wewe kwa faida yako, familia yako, ndugu na jamaa.

Kuwa wewe daima.
 
Piga kazi wewe siku hizi hivi vibanda vya mpesa ambavyo vinamtaji kuanzia M1 - M2 vinapiga hela kuliko haya maduka yetu ya mtaani kwaiyo piga kazi huenda baadae ukaja kuwa Wakala mkubwa wa Tgo/Mpesa
 
Nashukuruni wandugu asanten kwa yote
 
Mi nafanya hii kaz nikichanganya na M-pesa na tigo Pesa.
Ebwana huku ni kuzur asikudanganye mtu nalaza wastan wa 14000 daily. Mwisho wa mwez commission ya 60000

Yaan
14000 * 30 = 420000
Commission =60000
Jumla/mwe 480,000

Hiyo ni usajili wa line tu bado COMMISSION ya mpesa. Karibu sana huku ni zaid ya ajira.
Kumbuka: hizo ni gharama baada ya kutoa chakula cha mchana.
Mkuu embu nije pm kidogo
 
Mi nafanya hii kaz nikichanganya na M-pesa na tigo Pesa.
Ebwana huku ni kuzur asikudanganye mtu nalaza wastan wa 14000 daily. Mwisho wa mwez commission ya 60000

Yaan
14000 * 30 = 420000
Commission =60000
Jumla/mwe 480,000

Hiyo ni usajili wa line tu bado COMMISSION ya mpesa. Karibu sana huku ni zaid ya ajira.
Kumbuka: hizo ni gharama baada ya kutoa chakula cha mchana.
Mh kwa_ mwezi mmoja unasajili lain 200? Uko juu
 
Mh kwa_ mwezi mmoja unasajili lain 200? Uko juu
Wee jamaa wap nimesema nasajili laini 200?. Soma vizur mi nasajili laini 40 - 45 kwa mwezi. Sijui kwanini umeamua kusema laini 200?
 
Wee jamaa wap nimesema nasajili laini 200?. Soma vizur mi nasajili laini 40 - 45 kwa mwezi. Sijui kwanini umeamua kusema laini 200?
Ukikamilisha usajili kwa vd unapata 300@line.
200*300=60000

Ila hata kwa hizo 40
40*1000=40000 hii ni anayolipa mteja
40*300=12000 commission
Kama una connection unapata zaid
 
Back
Top Bottom