Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Huu ushauri sio mzuri kabis
 
Asante....ni nyumba ya kupanga, kiuhalisia financially simtegemei cause ameweka nguvu kwao kusomesha na kuwajengea wazazi wake, kwa sasa tupo pamoja baada ya kufanikiwa uhamisho mwaka jana

Okay, pole sana.

Hayo maisha yatakuwa magumu kwa sababu hawezi kubadilika, na wazazi/ndugu zake wanakuona kama adui kwa sababu unaonekana kukwamisha msaada kwao.

Tafuta hela, kapange kwingine, mwachie kila unachoona kinafaa kubaki, kama akisema na mtoto umchukue fanya arrangement, akikubali kubaki naye endelea kuhudumia mpaka utakapoona una mazingira mazuri ya kukaa naye.
 


Hapo unafuga Simba ndani ya nyumba!
Sidhani kuna haja ya kuitisha ndugu kwako kwanza. Weka mipaka vizuri na usijejikuta umechelewa ingawa yaonekana umeshachelewa. Ila kumwacha muda bado!
 
Hapa hakimbii tatizo mkuu,bali ana solve tatizo.Kumuacha ni moja kati ya njia nzuri za kusolve tatizo.Tena njia bora mno.
 
Na nyie mnaheshimu wake zenu au mnataka Kuwa Mungu mtu. Wanaume wa siku hizi hamujielewi kabisa ujue. Kila siku kulia lia mkiona mke kawazidi hata elimu mnaanza kuji feel inferior na kulaumu. Unataka good package wakati package yako mbovu tu
 
Mmh km kaweka nguvu kwao hamna kitu hapo! Unapoteza muda,yupo ki maslahi
Asante....ni nyumba ya kupanga, kiuhalisia financially simtegemei cause ameweka nguvu kwao kusomesha na kuwajengea wazazi wake, kwa sasa tupo pamoja baada ya kufanikiwa uhamisho mwaka jana
 
Umenena vyema yani kwa yote hayo bado unaomba ushauri? ni bora umegundua mapema fukuza huyo anza maisha mapya ndugu
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
 
Mke anachukua mkopo kwa siri, hataki msaidiane maswala ya famili, hakuna future hapo ndugu, piga chini akaishi na ndugu zake huko.
 
Mke anachukua mkopo kwa siri, hataki msaidiane maswala ya famili, hakuna future hapo ndugu, piga chini akaishi na ndugu zake huko.
 
Wanaume mnapenda sana mwanamke asiyejitambua
Ili umfanye kama rimoti unabonyeza tu

You don't accept challenges from us

Yaani mwanamke kukopa bank bila kumpa taarifa mumewe ndo kujitambua?

Mwanamke kutoa ujauzito akiwa ndani ya ndo ndo kujitambua???

Mwanamke kutokupokea simu kwa muda wote huo tena kwa mumeo ndo kujitambua?

Hivi ninyi mnaichukuliaje kujitambua

Ndo maana wahuni hatuoi tunatupia tu kama kawaida mkisema sisi waoga yeah sisi waoga wa kuwa na wanawake wanaojitambua kwa ujinga
 
Umekuwa mvumilivu Sana bro ndoa kitu gani .unataka uishi maisha mafupi kwaajili ya mwanamke halafu katoa mimba yako yaani kaua mwanao ili asomeshe mdogo wake. Ukiendelea kuvumilia hesabia siku zako za kuishi ni chache Duniani. Mtoto wa kiume haitakiwi uhangaike hivyo. Ukiachana nae kwani utakufa au utashindwa kuishi . Itisha kikao cha familia mwambie it's over . Tena usimsamehe kabisa. Atakufanya uwe maskini
 
Huyo mwanamke ANAFUNGISHA boss!!!!!
 
Ukioa mwanamke anatakiwa kujihusisha na mambo ya kwao kwa ruhusa yako.
Ukiona anafanya kwa kuamua na ndugu zake Basi Ni afadhali akaishi na ndugu zake tu ijulikane moja.

Labda uniambie alijilipia mahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…