Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Naona umesemea ya kwake

Angekuwepo tumsome na yeye!
 
Tuishi nao kwa akili. Hivyo tu.

Mwanamke (sio wote) kwa asilimia kubwa huangalia SASA....hawana kumbukumbu ya wakati uliopita. Na siku zote wako sahihi, hawajawahi kosea!!

Mwache aburudike, iko siku atajua kuwa aliruka mkojo na kudandia kinyesi.
 
Hilo zimwi umelifuga. Shemeji yako alipoanza dharau ilitakiwa umtimue haraka sana. Halafu mke wake naye angeleta maneno, ungemwambia naye aungane na mdogo.

Listen brother. Wanawake mara nyingine wanatabia kama za watoto, kukujaribu kuona boundaries zako. Usipokaza sura na moyo utachezewa. Mke wako mpaka anatoa mimba! Wewe upo tu.
 
Inaelekea wewe ni mpole sana,mkeo na ndugu zake washaujua huu udhaifu wako,wana take advantage of, huyo mwanamke ni selfish (anataka uhudumie Kwao tu) katili mpaka kuua Kiumbe kisicho na hatia sababu ya pesa??.. na kama ameweza hili anashindwaje kukucheat??? My brother sipendagi kuona mahusiano yanavunjika ila hapa inabidi tu uondoke Tena kwa speed kubwa ,huyo MWANAMKE HAKUPENDI,anakutumia tu,siku UKIPOTEZA KAZI au KUCHACHA jua atakufukuza ndani ya nyumba kama mwizi,sauti ya wengi sauti ya Mungu..achana nae
 
Ukichunguza wengi mnaoleta visa vya wake zenu humu ni kwamba mmeowa "watumishi".

Kuna Mzee Mmoja hata hanijui aliwahi kuniambia "tafuta asiyesoma sana utadumu naye". Hawa wasomi sio wanawake wazuri kwa ndoa.

Namrudia Aisha wangu class 7 mwenye kipaji cha hali ya juu.
 

Acha kumdanganya mwenzio,au mpaka aletewe ukimwi ndani sababu ya pesa ndio urealize kuwa amefanya makosa kuwa na huyo mwanamke? Hello
 

Ngoja ukute class 7 ,afu ana kiburi ndio utashika adabu,lol
 


It always boils down to economics!

Ndoa ikishakua na mchanganyiko na ndugu lazima ikufe!

Im really sorry this is happening!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…