Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhan atakua hata hajamwambia anaenda wapi.........Ndio usemacho nikweli.... Sasa km wee unalitambua ili...inamaana mumewe halitambui ili???
Hachelewi kuja akishaona bandiko linamuhusu.Naona umesemea ya kwake
Angekuwepo tumsome na yeye!
Mwanamke akiwa na "vijipesa vyake" mwenyewe anakuwa jeuri tu.Kweli hela nyoko,unatoa mimba uko kwenye ndoa??!!?![emoji102][emoji102]
Mkuu mimi siwezi kushauri muachane kwa kuwa sijui vema dhamira yenu ya kuoana.. ila nadhani mnachopishana hapo ni kiburi... mwanamke kiburi na mwanaume kiburi... angalien namna ya kumaliza tofaut zenu, msiishi kama maadui, haipendez, kila mmoja atambue wajibu wake na kuutimiza kwa kadri ya uwezo wake. Lakini pia, kila moja ajue msingi wa ndoa na kuzingatia...
Usione wazee wetu wanaishi kwenye ndoa kwa miaka 40, ukadhani hawana matatizo.. suluhsho la tatizo syo kulikimbia
Mwanamke akiwa na "vijipesa vyake" mwenyewe anakuwa jeuri tu.
Ndiyo....tunafahamiana nini mkuu?!Wee ndio mwanamke uyo nayemuona kwa Avatar.
Ukichunguza wengi mnaoleta visa vya wake zenu humu ni kwamba mmeowa "watumishi".
Kuna Mzee Mmoja hata hanijui aliwahi kuniambia "tafuta asiyesoma sana utadumu naye". Hawa wasomi sio wanawake wazuri kwa ndoa.
Namrudia Aisha wangu class 7 mwenye kipaji cha hali ya juu.
Nnae tangu 2010. Namjua vizuri....ana kiburi na ni mkorofi kweli lakini KWANGU HUWA ANA NYWEA hata sijuagi kwanini?Ngoja ukute class 7 ,afu ana kiburi ndio utashika adabu,lol
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.
Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.
2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.
Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.
Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.
Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...
Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......
Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....
Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....
Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....
Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Nnae tangu 2010. Namjua vizuri....ana kiburi na ni mkorofi kweli lakini KWANGU HUWA ANA NYWEA hata sijuagi kwanini?
Asante....jana nimempeleka kwa baba. Dad kashangaa kukuta wadogo zangu wanamjua.Hongera,sio wote wenye bahati hiyo...
Itakuwa boroyanki linamkolea vizuri.....Nnae tangu 2010. Namjua vizuri....ana kiburi na ni mkorofi kweli lakini KWANGU HUWA ANA NYWEA hata sijuagi kwanini?
Kweli hela nyoko,unatoa mimba uko kwenye ndoa??!!?![emoji102][emoji102]
Hahaah! Kajiweka wallpaper kwenye simu yangu siku akikuta nimetoa kesi....halafu anakuwa mpole.Itakuwa boroyanki linamkolea vizuri.....