Ukichunguza wengi mnaoleta visa vya wake zenu humu ni kwamba mmeowa "watumishi".
Kuna Mzee Mmoja hata hanijui aliwahi kuniambia "tafuta asiyesoma sana utadumu naye". Hawa wasomi sio wanawake wazuri kwa ndoa.
Namrudia Aisha wangu class 7 mwenye kipaji cha hali ya juu.
Shem ebu mpe eksipiriensi ya ndoa yako labda inaweza kumuokoa asizame.Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake
Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu
Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba
Hili nalo tatizo. Ila wanawake wasomi ndo mnaongoza kulipiza kisasi.Waongo
Utakuta ni wachepukaji first class
Wakileta madhila humu wanajisafisha kama wao ni wasafi sana
Waongo
Utakuta ni wachepukaji first class
Wakileta madhila humu wanajisafisha kama wao ni wasafi sana
Imebana au imepwaya???Pole ndugu, ndoa ni gereza la hiari, ndio maana inaitwa "kufunga pingu" ukifungwa pingu unakuwa hauko huru, naona kama umechagua pingu isiyo zaiz yako
Umeshaachana mara ngapi mkuu na kuoa mara ngapiHuo ni upuuzii yaani naamini asilimia 100% mimi nimezaliwa tofauti na wanaume wengine karibia wote na spiece yangu sijui kama bado ipo hapa sayari ya earth...
Kama Trump aliweza kuvunja mkataba wa Nuclear na Iran, sembuse huyo malaya ushindwe kumfekelea mbali big no...
Kama Magufuli aliweza kuvunja mkataba na ACACIA sembuse ushindwe kumwacha huyo mwanamke malaya?
Kama Uingereza wanaachana na umoja wa ulaya BRIEXT kwako imeshindikana nn kumfekelea mbali huyo mwanamke
Kwani huyo mwanamke ni mama yako?
Aaaaaaaaarrrrrrrgggggg........ Jamani mm nitavumilia mambo yote ila siyo huuu upimbi nafukuza walai kama hii kesi ingewezekana ukaniuzia yaaani nampiga mtu shoka la utozi
hata vitabu vya dini vinasema mwanamke atavunja ndoa yake kwa mikono yake! huwa sio rahisi kwa mwanaume kumuacha mwanamke.emu nimbie ni kosa gani kubwa ambalo mwanaume anaweza kufanya mpaka mwanamke akaamua kumuacha mwanaume? ukiacha la kuhudumia familiaNaona umesemea ya kwake
Angekuwepo tumsome na yeye!
Adi unacoment hapa leo hii tayari umeshavunja ndoa ngapi tafazali😱😱😱😱Huo ni upuuzii yaani naamini asilimia 100% mimi nimezaliwa tofauti na wanaume wengine karibia wote na spiece yangu sijui kama bado ipo hapa sayari ya earth...
Kama Trump aliweza kuvunja mkataba wa Nuclear na Iran, sembuse huyo malaya ushindwe kumfekelea mbali big no...
Kama Magufuli aliweza kuvunja mkataba na ACACIA sembuse ushindwe kumwacha huyo mwanamke malaya?
Kama Uingereza wanaachana na umoja wa ulaya BRIEXT kwako imeshindikana nn kumfekelea mbali huyo mwanamke
Kwani huyo mwanamke ni mama yako?
Aaaaaaaaarrrrrrrgggggg........ Jamani mm nitavumilia mambo yote ila siyo huuu upimbi nafukuza walai kama hii kesi ingewezekana ukaniuzia yaaani nampiga mtu shoka la utozi
Si atakuwa anatoa huduma kwa jamaa alomgeia pesahuyo mwanamke anadharau sio kidogo yani wiki 3 zote,mie nilidhani siku 3
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.
Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.
2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.
Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.
Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.
Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...
Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......
Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....
Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....
Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....
Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Ila yeye anasemea mke mkuu sio hawaraaaWanaume wengi umri wetu wa kuishi ni mdogo ukilinganisha na wanawake kwa sababu kama hizi, yaani wewe unawaza kupita kiasi karibia kichwa kipasuke halafu yeye hana hata wasi wasi.
mimi hawala asipopokea simu kutwa moja, namuweka dust bin...
Ushauri wangu muache kabla ya Tarehe 20/12/2018 majira ya saa 5:30.