Nataka nifuge samaki kwene tank, inawezekana?

Nataka nifuge samaki kwene tank, inawezekana?

Tuo Tuo

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
678
Reaction score
1,202
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi?

Lakini nikiingia YouTube naona kuna watu wanafuga samaki kwenye tanki na wanaishi!

Ushauri tafadhari.
 
Ni vitu gani nifanye samaki wasife,,, nakumbuka wakat wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nn? Wengine walisema n maji ya bomba sababu yana chlorine bas tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi??

Lakin nikiingia youtube naona kuna watu wanafuga samaki kwene tank na wanaishi!
Ushauri tafadhar
Inawezekana vizuri tu, nenda Ruvu JKT au SUA watakuelekeza cha kufanya
 
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi?

Lakini nikiingia YouTube naona kuna watu wanafuga samaki kwenye tanki na wanaishi!

Ushauri tafadhari.
Ndio inawezekana! Samaki anataka MAJI na Oxygen - So ukimpa hivyo ana tatizo
 
Nina kitabu cha ufugaji wa samaki cha soft copy ila siwezi kupa bure
 
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi?

Lakini nikiingia YouTube naona kuna watu wanafuga samaki kwenye tanki na wanaishi!

Ushauri tafadhari.
Inawezekana
 
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi?

Lakini nikiingia YouTube naona kuna watu wanafuga samaki kwenye tanki na wanaishi!

Ushauri tafadhari.
Samaki kama viumbe wote wa Mungu! Hupata Stress! Ndo maana ufa!
 
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi?

Lakini nikiingia YouTube naona kuna watu wanafuga samaki kwenye tanki na wanaishi!

Ushauri tafadhari.
Samaki kama viumbe wote wa Mungu! Hupata Stress! Ndo maana ufa!
 
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba maji ya ziwa lakini wapi?

Lakini nikiingia YouTube naona kuna watu wanafuga samaki kwenye tanki na wanaishi!

Ushauri tafadhari.
IPO hivi! Tanzania now Serikali imeruhusu ufagaji lake Victoria. Kama una mtaji walau 20M tuchekieane. Nna formula ya Kutuma magugu MAJI kama Protein ya Chakula- Cha samaki!- nna mpaka proposal so njoo Pm tuyajenge tupige kazi.Kwenye kufunga Samaki wa kuuza! IPO formula ya kuwafanya wote wawe Madume; kwa miezi 3 wanakuwa 500-600+Grams! So unawauza kwa Bei nzuri tu
 

Attachments

  • download (33).jpeg
    download (33).jpeg
    8 KB · Views: 10
  • download (34).jpeg
    download (34).jpeg
    10.1 KB · Views: 11
  • download (35).jpeg
    download (35).jpeg
    5.1 KB · Views: 10
  • download (36).jpeg
    download (36).jpeg
    5.8 KB · Views: 13
  • images - 2023-10-22T215139.391.jpeg
    images - 2023-10-22T215139.391.jpeg
    8.9 KB · Views: 8
  • images - 2023-10-22T215146.402.jpeg
    images - 2023-10-22T215146.402.jpeg
    14.1 KB · Views: 9
  • images - 2023-10-22T215139.391.jpeg
    images - 2023-10-22T215139.391.jpeg
    8.9 KB · Views: 9
  • images - 2023-10-22T215151.311.jpeg
    images - 2023-10-22T215151.311.jpeg
    5.9 KB · Views: 10
IPO hivi! Tanzania now Serikali imeruhusu ufagaji lake Victoria. Kama una mtaji walau 20M tuchekieane. Nna formula ya Kutuma magugu MAJI kama Protein ya Chakula- Cha samaki!- nna mpaka proposal so njoo Pm tuyajenge tupige kazi.Kwenye kufunga Samaki wa kuuza! IPO formula ya kuwafanya wote wawe Madume; kwa miezi 3 wanakuwa 500-600+Grams! So unawauza kwa Bei nzuri tu

mkuu mi nashukuru ila sina hela hyo mi nilikua nataka kufuga wakula tu nyumbani
 
IPO hivi! Tanzania now Serikali imeruhusu ufagaji lake Victoria. Kama una mtaji walau 20M tuchekieane. Nna formula ya Kutuma magugu MAJI kama Protein ya Chakula- Cha samaki!- nna mpaka proposal so njoo Pm tuyajenge tupige kazi.Kwenye kufunga Samaki wa kuuza! IPO formula ya kuwafanya wote wawe Madume; kwa miezi 3 wanakuwa 500-600+Grams! So unawauza kwa Bei nzuri tu
Hizo cage za duara nazipataje ndugu? Bei yake ikoje? Zinahifadhi idadi gani ya samaki?
 
mkuu mi nashukuru ila sina hela hyo mi nilikua nataka kufuga wakula tu nyumbani
Unaweza Jenga la cement ila itabidi Uwe na pump ilayoingiza MAJI muda wote(kuwezesha uwepo wa Oxygen) .
 
Back
Top Bottom