Ukiwa stendi, hospital na sehemu nyingine kama hizo, bila shaka utaona watu wakihaha kutafuta mawasiliano, au kwa kukosa chaji, au sababu nyingine!Duuh..kwan Daslam mbona kama utata..kila mtu au karibia asilimia kubwa ya watu wanasimu..na wale ambao hawana ni rahisi kutumia kutoka kwa watu wanawazunguka...
Ukiwa stendi, hospital na sehemu nyingine kama hizo, bila shaka utaona watu wakihaha kutafuta mawasiliano, au kwa kukosa chaji, au sababu nyingine!
Hakuna Fursa hapo?
Anataka amwajiri Swalehe kwenye kibanda kimojaHivi una akili ?!
Samahan kwa swali gumu
Atatoa huduma zoteBora ufungue kibanda cha kuchajisha sim