Nataka nifungue gaming centre, mambo yapi nizingatie

Nataka nifungue gaming centre, mambo yapi nizingatie

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Habari zenu, Nataka niongeze kipato nje ya mshahara wa ajira, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya ps,

gharama nilizopangilia, naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - bure)

Tax clearance ya Tra kodi utayoambiwa ulipie kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamadhni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Jumla ni 6.180,000/=


ni mambo yapi mengine nizingatie ?
 
Habari zenu, Nataka niongeze kipato nje ya mshahara wa ajira, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya ps,

gharama nilizopangilia, naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - bure)

Tax clearance ya Tra kodi utayoambiwa ulipie kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamadhni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Jumla ni 6.180,000/=


ni mambo yapi mengine nizingatie ?
Ngoja wakuu waje watakupa mambo mengi kuusiana na game center ila nataka nikuulize swali mkoa gani unataka kufungua au wilaya gani
 
Habari zenu, Nataka niongeze kipato nje ya mshahara wa ajira, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya ps,

gharama nilizopangilia, naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - bure)

Tax clearance ya Tra kodi utayoambiwa ulipie kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamadhni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Jumla ni 6.180,000/=


ni mambo yapi mengine nizingatie ?
duh..
 
Umeeleza vizuri mpango kazi ila.pia ni vizuri zaidi ukaweka wazi utatumia tv inch ngapii, na playstation gani ambazo ambazo.unapanga kuanzanazo na pia ni games zipi ambazo unaona utaanza nazo cos game zingine zinaharibu sana padi na eneo ulilolenga biashara liko na watu wa aina gani so haya yote niliyokutajia ndio.kiiini cha hii biashara ko ongezea data kdoo.mkuu theN nitakupa nondot

Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta flame eneo lenye dent's wa chuo hapo utapiga ela ya kuvutia ganja kwa pusha... Au basi, peleka shamba mil5 ukalangue mazao na uuze kwa faida kubwa. Au nenda lindi kanunue chumvi malighaf upeleke kiwandan pale neel mkulanga.. SIJAWAHI KUSIKIA MTU KAWA TAJIRI BIASHARA YA KITOTO Ps
 
Kwanini mtu akileta Mada mnamshauri akawekeze shambani sijui nafaka??

Mkuu hii ni biashara kabambe sana..Kama ni eneo la mjini unaweza kununua emulator zile Virtual emulator..Kama na game la ngumi mtu anavaa zile miwani unampa na vijiti anajiona kama yupo ndani ya game..watu wanazipenda sana wakubwa kwa watoto sijajuaga bei yake ila kuvaa tu kwa dakika kadhaa sio chini ya buku 3-5

Pia,Kuna zile game za racing ukipata ile pad gear(Imekaa kama Stering ya gari) game kama Need for speed,Asphalt anakaa mtu pale anapiga gia anajiona kama yupo ndani ya game na atatoa buku 3+ kwa dakika tu


Muhimu eneo liwe kubwa na iwe mjini kabisa hapo utapata watoto wa kishua na kihindi bila PS za mpira nazo unaweka mbili au 3 tu nakuhakikishia hutojuta.


Kila la heri
 
Habari zenu, Nataka niongeze kipato nje ya mshahara wa ajira, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya ps,

gharama nilizopangilia, naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - bure)

Tax clearance ya Tra kodi utayoambiwa ulipie kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamadhni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Jumla ni 6.180,000/=


ni mambo yapi mengine nizingatie ?

Nunua boda boda tatu uwape vijana waendeshe.

Bodaboda moja kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu ,ukiwa na boda boda tatu kwa mwezi unaingiza laki 9 ,kwa miezi miwili unaingiza 1.8M ,hivyo una uwezo wa kuongeza boda boda moja kila baada ya miezi miwili.

Huoni utapiga pesa hapo?
 
Nunua boda boda tatu uwape vijana waendeshe.

Bodaboda moja kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu ,ukiwa na boda boda tatu kwa mwezi unaingiza laki 9 ,kwa miezi miwili unaingiza 1.8M ,hivyo una uwezo wa kuongeza boda boda moja kila baada ya miezi miwili.

Huoni utapiga pesa hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Frem bei kubwa sana. Lak 200,000 ni kubwa sana kwa frem ya gem
 
Back
Top Bottom