Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,501
- 4,226
Habari?
Kama mada inavyo jieleza nina mtaji wa 900,000 ila tayari nina Epson L3110, lamination machine na PC ambayo nitaanza nayo.
Je' nianze na vifaa vipi muhimu vya kuweka kwenye stationery yangu?
Soma: Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji
Kama mada inavyo jieleza nina mtaji wa 900,000 ila tayari nina Epson L3110, lamination machine na PC ambayo nitaanza nayo.
Je' nianze na vifaa vipi muhimu vya kuweka kwenye stationery yangu?
Soma: Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji