Nataka nifungue Stationery Nianze na vifaa vipi ihali nina mtaji wa 900,000?

Nataka nifungue Stationery Nianze na vifaa vipi ihali nina mtaji wa 900,000?

Mkuu betting hailipi tena? Ulikuwa unaweka mizigo unashusha odds tunafata wadau... Nimekula sana za uso mpaka nikimbia uzi wenu, tangu 2019 sijaufungua tena nauona tu unatrend kila siku sitaki tena mazoea nao tena unavishawishi vingi aisee ukikaa vibaya kule kufirisika ni chapu maana kwa tathimin yangu ndogo kule wamejaa jobless na waliojikatia tamaa ya maisha
Ule uzi wa kiboya sana mkuu sitaki tena betting na nimesha acha mkuu saiv natunza familia.
 
Mkuu betting hailipi tena? Ulikuwa unaweka mizigo unashusha odds tunafata wadau... Nimekula sana za uso mpaka nikimbia uzi wenu, tangu 2019 sijaufungua tena nauona tu unatrend kila siku sitaki tena mazoea nao tena unavishawishi vingi aisee ukikaa vibaya kule kufirisika ni chapu maana kwa tathimin yangu ndogo kule wamejaa jobless na waliojikatia tamaa ya maisha
Kule tupo mchanganyiko kama kijiwe chà kahawa tu.
Kuna wengine hawana kazi yòyote wanategemea betting tu, wamekata tamaa. Hao wanabeti kila siku, wakiliwa ndio unawakuta PM wanaomba uwaungie.

Kuna wenye shughuli zao, betting ni kama ziada tu, anabeti wikiendi tu. Kuna muda anakuwa na mtaji kabisa ila anakosa muda wa kutulia na kuandaa mkeka.

Kuna waajiriwa pia, mshahara ukitoka tarehe za mechi nzuri ni heri kwake. Ana bajeti yake kabisa, ikiliwa basi maisha mengine yanaendelea.

Yote kwa yote betting na hela ya biashara haitakiwi kabisa kwa maoni ýangu. Bora kidogo hela ya mshahara au ufundi.
Kuna mwamba tulikuwa naye UDSM miaka michache iliyopita alikuwa anatupia hadi nusu ya boom ila siku hizi kaacha kabisa, anafanya biashara. Japo anapata faida ndogo lajini ni ya uhakika sio ya presha kama betting mkeka unatiki au kuchanika dakika ya 96.
 
1. Rim papers
2. Staplers na pin zake
3. Manila papers na transparent sheets for binding
4. Lamination sheets
5. Pens, pencils, erasers na Rulers
6. L3110 inaweza kuprint colored picture. Kama unaweza toa na huduma ya passports photos
7. bahasha za A4 na zile ndogo zake
8. Weka daftari za kawaida na counter books
Bahasha A4, A5, A6, A3
Asisahau kuuza Ream paper, zina faida kubwa na ya haraka kuliko vifaa vyote.
 
kule hapafai kabisa mkuu. Hivi @deepond pado anatupia na kuweka mizigo yake ya inplay?
Aliliwa mfululizo mwisho wa siku akatokomea [emoji23][emoji23], pia alicho bakiza akaachana na betting akaenda kwenye mapenzi michepuko mingi sana
 
Back
Top Bottom