AsanteKama unavyoshauriwa bora kununua mazao mimi nalima naona changamoto sana bora robo ya hela lima uone utakachopata ili mwaka unaofatia ujue changamoto ulizoziona utakabiliana nazo na kiwango kikubwa cha hela bora uwekeze katika kununua zaidi na kuuza mazao yasiyo haribika yakikaa muda mrefu
NJOO DAR ULIME BIRIANI,, INALIPA SANA MKUU
Usilime braza... Km una uhakika wa masoko we nunua tu mazaoNataka niingize kiasi tajwa kwenye kilimo Cha mazao ya muda mfupi,siku 90-180 mavuno,lengo ni kupata 30,000,000 ili nifanye mambo fulani,Ni zao lipi linaweza kunifikisha kwenye kwenye lengo?
Wazoefu kujeni nahitaji mawazo yenu.
Yah ninayo shughuli nyingine,hiyo 9.2M imetokana na hiyo shughuli,nilikuwa na akaunti ya malengo miaka kadhaa hatimaye kimepatikana hicho kiasi nataka nivunje kibubu,lengo nipate 30M ndani ya miezi 3-6 .Usilime braza... Km una uhakika wa masoko we nunua tu mazao
Vinginevyo labda km una vyanzo vya mapato vingine tofauti na iyo unayoitaka kuizika
Asante sanaUkiweza tafta eneo lililo karibu na Maji mwagilia kwa generator Au scheme ya umwagiliaji Lima mpunga fuata utaalam Lima hata 10 acre nakuhakikishia kola acre una uhakika wa kupata Gunia kuanzia 30 za mpunga
Eka 1 upate gunia 30 za mpunga? Wapi hii Mkuu?Ukiweza tafta eneo lililo karibu na Maji mwagilia kwa generator Au scheme ya umwagiliaji Lima mpunga fuata utaalam Lima hata 10 acre nakuhakikishia kola acre una uhakika wa kupata Gunia kuanzia 30 za mpunga
Popote pale utakapolima kwa kuzingatia sheria na kanuni za KilimoEka
Eka 1 upate gunia 30 za mpunga? Wapi hii Mkuu?
greenhouse ni uhakika kwa hiyo pesa yakeLabda ununue na kuuza ila kulima sio salamaaa mkuu
hata drip irrigation ya kawaida tu karibu na mto anatokaLabda ununue na kuuza ila kulima sio salamaaa mkuu
[emoji2958]Jamaa pima mwenyewe lipi ambalo utalimudu kwa asilimia kuanzia 80%.
Shughuri za kilimo zinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana. Kuna mambo ya mbolea, madawa, kupalilia na kuvuna. Yoote hayo yanahitaji taimingi. Ukikosea/kuchelewa kidogo tu ndo tayari inaweza pelekea hasara furani.
Km umeshawahi kulima hapo awali na kufanikiwa basi unaweza kuanzia hapo.
Kuwekeza kwenye Kilimo ni poa sana but zingatia hayo hapo juu.
Wadau wamekushauri juu ya uchuuzi.
Nami pia naonelea uanzie hapo. Tafuta fremu chagua bidhaa yako unayoona inahitajika ama utaweza kuiuza vizuri kinyume na majira/rivals wako.
Tafuta hiyo bidhaa mahali inapopatikana kwa wingi na kwa ubora. Pia half of your servings ndiyo uielekeze huko kwenye trading. Itakayobakia unaextend kwa biashara nyingine ya tofauti.
Hakikisha unajua legal procedure zote za kuformalize biashara unayoiwazia kabla hujaanza hatua moja. Hii itakusaidi kutogo bana na wasimamizi wa kanuni na taratibu za biashara ambapo pia inaweza kugharimu uhai wa biashara yako.
Kwa mawazo yangu yenye makengeza naomba kuwasilisha.[emoji120][emoji120][emoji120]
Daaaa mtihaniEndelea na kazi ikiyokufanya upate hio 9,200,000 mwenzio mimi 6,000,000 niliingia shamba hata kumi haijarudi na kazi iliyonifanya nipate 6,000,000 nayo ishakufa kwakuwa fungu halipo Na haha kukopa taasisi za fedha HIVYO YAPIME JIANDAE NAYO YAJAYO
Viazi mviringo njombe, ila mwisho wa kupanda ni junNataka niingize kiasi tajwa kwenye kilimo Cha mazao ya muda mfupi,siku 90-180 mavuno,lengo ni kupata 30,000,000 ili nifanye mambo fulani,Ni zao lipi linaweza kunifikisha kwenye kwenye lengo?
Wazoefu kujeni nahitaji mawazo yenu.
Njo ulime njombe parachichi miaka 3 unaanza kuvuna.Hapo utapanda heka nane.parachichi ndio habari ya nyanda za juu, kilo moja buku jero, achana na mazao ya msimu yatakuumiza kichwa.Yah ninayo shughuli nyingine,hiyo 9.2M imetokana na hiyo shughuli,nilikuwa na akaunti ya malengo miaka kadhaa hatimaye kimepatikana hicho kiasi nataka nivunje kibubu,lengo nipate 30M ndani ya miezi 3-6 .
Gharama zake zikoje kwa heka?kuanzia kununua shamba Miche kulima kupanda nk.Njo ulime njombe parachichi miaka 3 unaanza kuvuna.Hapo utapanda heka nane.parachichi ndio habari ya nyanda za juu, kilo moja buku jero, achana na mazao ya msimu yatakuumiza kichwa.