Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 326
- Thread starter
- #41
Nimekubali lete ushauri wako SasaTuanzie hapa kwanza, Je umekubali kuchakaa mwili na akili?
Biashara ya Mazao inataka Undundame haswa lasivyo utakuja kulia lia lia iwe kama ndoto.
Kiufupi ukitaka kuruka lazima ubonyee chini, sasa hapo kwenye kubonyea ndio mtihani.