Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 326
- Thread starter
-
- #41
Nimekubali lete ushauri wako SasaTuanzie hapa kwanza, Je umekubali kuchakaa mwili na akili?
Biashara ya Mazao inataka Undundame haswa lasivyo utakuja kulia lia lia iwe kama ndoto.
Kiufupi ukitaka kuruka lazima ubonyee chini, sasa hapo kwenye kubonyea ndio mtihani.
Biashara ya kununua mazao ingependeza sana
Dah! Kilimo hakitabiliki unaweza faidika au kujutia.
Kaza roho
Lima kilimo cha bustani kinalipa Sana lina mchicha kwa wingi Sana na Lima spinach na tembeleNataka niingize kiasi tajwa kwenye kilimo Cha mazao ya muda mfupi,siku 90-180 mavuno,lengo ni kupata 30,000,000 ili nifanye mambo fulani,Ni zao lipi linaweza kunifikisha kwenye kwenye lengo?
Wazoefu kujeni nahitaji mawazo yenu.
Nataka niingize kiasi tajwa kwenye kilimo Cha mazao ya muda mfupi,siku 90-180 mavuno,lengo ni kupata 30,000,000 ili nifanye mambo fulani,Ni zao lipi linaweza kunifikisha kwenye kwenye lengo?
Wazoefu kujeni nahitaji mawazo yenu.
Mimi ni mkulima maarufu wa kilimo cha mtaandaoni syo shambani , hivyo ushauri wangu kama uko mkoa wa Pwani lima myanya kwa greenhouse uvune mwezi wa 4 na 5 ulete ilala bungoni hakika uta furahi na utakumbukaNataka niingize kiasi tajwa kwenye kilimo Cha mazao ya muda mfupi,siku 90-180 mavuno,lengo ni kupata 30,000,000 ili nifanye mambo fulani,Ni zao lipi linaweza kunifikisha kwenye kwenye lengo?
Wazoefu kujeni nahitaji mawazo yenu.
Tuanzie hapa kwanza, Je umekubali kuchakaa mwili na akili?
Biashara ya Mazao inataka Undundame haswa lasivyo utakuja kulia lia lia iwe kama ndoto.
Kiufupi ukitaka kuruka lazima ubonyee chini, sasa hapo kwenye kubonyea ndio mtihani.
Madini gani mkuu?Ingia kwa madini kuja kwa pm na commision kidogo kwa week unaingiza 3,000,000 as profit kwa mwezi unakula 12,000,000 sio miezi sita ni miezi miwili tu na week mbili unapata milion 30,000,000 plus msingi wako 9,200,000 itakuwa 39,200,000
Mi nataka nifanye drip irrigation karibu na mto.hata drip irrigation ya kawaida tu karibu na mto anatoka
Ikoje hi no yako pseIngia kwa madini kuja kwa pm na commision kidogo kwa week unaingiza 3,000,000 as profit kwa mwezi unakula 12,000,000 sio miezi sita ni miezi miwili tu na week mbili unapata milion 30,000,000 plus msingi wako 9,200,000 itakuwa 39,200,000