kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Umejiandaaje kuchapiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumradhi. Ni.....spare. .....siyo spear.Uzuri spear zipo durable, ukishaweka lazima usahau maana sio bandika bandua kama gari zingine.
Asante kwa kunisahihisha.
Kwaio mwanangu umeshamng'oa huyu mtoto daah...?😍Thats huge my love...maybe amnunulie ile BMW x1 inafaa kwa first ownership af inaendana hivi na dualis!
Kwenye gari za Kijerumani za kawaida
1st class Mercedes Benz na BMW
2nd class Audi na VW
Hata mimi naiona Benz ni ya kizee ndio maana Kati ya Benz na BMW nachagua BMW.Hivi jamani kwanini mimi hua nayaona ma mercedes benz kama magari ya kizee zee sana? Au kwavile ndio gari nilizoanza kuziona na kuzitambua (kwa ile nembo yake) tangu nikiwa mdogo? Yaani mimi benz ata iweje hua naiona imekaa kizee tu. Nikiona tu ile shoo yake ya mbele nachoka kabisa.