Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #21
itawezekana vp eti ndugu yako umuitie watu wamchanje viwembe?kama sio uchawi ni nini? hilo la picha ninge kusupport.
wasalimie
Kabla ya kuongea unatakiwa utafakari kwanza,Jf kuitwa homu ovu grit thinka haina maana pumba haziruhusiwi na pia Tanzania kuitwa kisiwa cha amani haina maana wote ndio wanaipenda hiyo amani na ndio maana CCM,CUF na CDM,wanaanzisha vurugu na hata kuua ikibidi wanaua.mbona bado upo? Jf tunahitaji magreater thinker na sio magreater pumba.
nimeshakuaga
Habari zenu waheshimiwa,JPili inasemaje?kwangu ni mbona tu na nina mpango wa kwenda kupunga upepo pale beach.
Ni hivi nina ndugu yangu kaingia kutoka Mafia yaani bado mshamba kwelikweli sasa nilikuwa nina mpango wa kuanza kumchangamsha.
Kuna jamaa alinipa ushauri nimpige picha akiwa na pensi kashika chupa ya koka kola kubwa huku kaweka pozi ya dole tupu,nimpige picha mbili moja yangu moja yake kama kumbukumbu,kwahiyo akianza kujanjaruka niwe wala siuumii kichwa kwani naweza nikamuumbua kwa kutumia picha hiyo.
Binafsi nilikuwa nina mpango wa kumkabisha kwa mateja wamkatekate visu ila wasimuue halafu nimpeleke hospital akatibiwe akitoka ataanza kulijua jiji kidogokidogo.
Narudi kwenu marafiki zangu ambao ndio nyie,je plan hizo ni nzuri kuzitekeleza? au kuna njia nyingine mbadala za kumuingiza mtu mjini?
My dia! Same 2 me! Actually nimekuwa najaribu kusoma mind ya huyu bwana and not sure nimeweke kundi gani. Maana utoto si utoto, roho mbaya am not sure, uchawi am not sure.....I just conclude kwamba pamoja pamoja kwake mjini ila bado ni mshamba kupitiliza and on top of that nadhani hajielewi. I'm sorry 2 say this is disgusting and inhumane! Gosh mungu tunusuru!Siamini nilichokuwa nakisoma. Nimerudia mara mbili halafu nahisi bado siamini.
Daaah!
Habari zenu waheshimiwa,JPili inasemaje?kwangu ni mbona tu na nina mpango wa kwenda kupunga upepo pale beach.
Ni hivi nina ndugu yangu kaingia kutoka Mafia yaani bado mshamba kwelikweli sasa nilikuwa nina mpango wa kuanza kumchangamsha.
Kuna jamaa alinipa ushauri nimpige picha akiwa na pensi kashika chupa ya koka kola kubwa huku kaweka pozi ya dole tupu,nimpige picha mbili moja yangu moja yake kama kumbukumbu,kwahiyo akianza kujanjaruka niwe wala siuumii kichwa kwani naweza nikamuumbua kwa kutumia picha hiyo.
Binafsi nilikuwa nina mpango wa kumkabisha kwa mateja wamkatekate visu ila wasimuue halafu nimpeleke hospital akatibiwe akitoka ataanza kulijua jiji kidogokidogo.
Narudi kwenu marafiki zangu ambao ndio nyie,je plan hizo ni nzuri kuzitekeleza? au kuna njia nyingine mbadala za kumuingiza mtu mjini?
Habari zenu waheshimiwa,JPili inasemaje?kwangu ni mbona tu na nina mpango wa kwenda kupunga upepo pale beach.
Ni hivi nina ndugu yangu kaingia kutoka Mafia yaani bado mshamba kwelikweli sasa nilikuwa nina mpango wa kuanza kumchangamsha.
Kuna jamaa alinipa ushauri nimpige picha akiwa na pensi kashika chupa ya koka kola kubwa huku kaweka pozi ya dole tupu,nimpige picha mbili moja yangu moja yake kama kumbukumbu,kwahiyo akianza kujanjaruka niwe wala siuumii kichwa kwani naweza nikamuumbua kwa kutumia picha hiyo.
Binafsi nilikuwa nina mpango wa kumkabisha kwa mateja wamkatekate visu ila wasimuue halafu nimpeleke hospital akatibiwe akitoka ataanza kulijua jiji kidogokidogo.
Narudi kwenu marafiki zangu ambao ndio nyie,je plan hizo ni nzuri kuzitekeleza? au kuna njia nyingine mbadala za kumuingiza mtu mjini?
Hahahahaha bado cjamchakachua nitamtupia yy lile gunia la miba ahangaike naloMkaribishe kwa kumpa yule mke wa rafiki yako aanze nae, aingie Town kwa kuchakachua wa mjini bOnge la shule hilo au Mjomba umeshamaliza ile ngoma tayari?
Kunjani Inkoskazi?hakuna shaka bibie nitamfundisha kuiba simu za chakabadala ya kumuongoza kwa yale mema uyajuayo wewe unataka kumuingiza mjini? je utafaidika na nini? kumbuka hata ukimuundia zengwe bado anaweza kuja kuwa mjanja na mwenye success kuliko wewe unayejidhania mjuaji
Nimewaelewa B.A.Kusema na J.Lee cntomfanyia ki2 mbayaSio vizur kumfanyia mwingine jambo ambalo usingependa kufanyiwa wewe.
Ni kweli 2pu hujakosea mie pamoja ya kwamba niko hapa na Wazulu lkn bado nachambia majani mpaka leo we niweke ktk kundi la wa2 washamba na wenye roho mbayaMy dia! Same 2 me! Actually nimekuwa najaribu kusoma mind ya huyu bwana and not sure nimeweke kundi gani. Maana utoto si utoto, roho mbaya am not sure, uchawi am not sure.....I just conclude kwamba pamoja pamoja kwake mjini ila bado ni mshamba kupitiliza and on top of that nadhani hajielewi. I'm sorry 2 say this is disgusting and inhumane! Gosh mungu tunusuru!
Amini tu dada yangu we,2ko ktk karne ya 21 kila ki2 knawezekanaSiamini nilichokuwa nakisoma. Nimerudia mara mbili halafu nahisi bado siamini.
Daaah!
Ushanitisha,mjn kwenu cji ng'o.Du Washawasha mjini ni wapi? maana inaonesha upo J'burg South Africa, halafu unamchukua m2 toka kilwa, hebu msamehe na hata akiwa mjanja kuliko ww si mbaya kwani kuna siku nawe tutakuingiza hapa mjini kwetu upotee
Maneno yako ni makali mno mpaka yamenitisha kumtenda jamaa na mie kuitwa mwehu naogopaHuna sababu ya kumkaribisha mjini ki hivo....Kama ni mimi ukinifanyia au kumfanyia ndugu yangu hivo nikijua nifanya juhudi zote ukakae mahabusu ya kudumu....
Umesababisha nakuogopa sana maana mawazo yako yanaonesha huna hata chembe la huruma (duduwasha)...
Neno linasema apendaye mizaha ni kama mwehu arushaye miale ya moto... Angalia usije ukaitwa mwenye kupenda mizaha.