Nataka nimuingize mjini

NIA YAKO YA "BEFORE" NA "AFTER" ni nini? Wewe inaelekea ulikuja na garimoshi la reli ya kati, sasa umejanjaruka.

Acha roho mbaya wewe!
 
NIA YAKO YA "BEFORE" NA "AFTER" ni nini? Wewe inaelekea ulikuja na garimoshi la reli ya kati, sasa umejanjaruka.

Acha roho mbaya wewe!
Usinipandishe hadhi kihivyo mie nimekuja na mbio za mwenge,sawa bibie roho mbaya nitaiacha
 

Washawasha na ww unavituko mara juzi utake kumuwasha mke wa rafikiyo leo tena na hili.. huko Mafia katoka wapi Bweni, tumbuju, Kilindoni, Ama Utende?? Taratibu ya hiyo ya mateja haijakaa vizuri kabisa. Mimi nadhani ukimfundisha mema na jinsi ya kuishi mjini atakukumbuka zaidi kuliko kumnanga.
 
noma,we wa kwetu nini?huyu katokea mashepeni kule mkumbi yaani ana kea mpaka kwenye ulimi,bac hamna noma nitamfundisha kuchakachua cmu.
 
Haya bwana washawasha...nimewahi kuishi na wamalindi wa huko kidogo kaka. Japo inawezekana nayajua maeneo mengi kuliko wenyeji japo kuwa sijui kuchokoa pweza.. hahahahahahahahahaahaaaaa
 
Haya bwana washawasha...nimewahi kuishi na wamalindi wa huko kidogo kaka. Japo inawezekana nayajua maeneo mengi kuliko wenyeji japo kuwa sijui kuchokoa pweza.. hahahahahahahahahaahaaaaa
ningekupa huyu ninayetaka kumuingiza mjni akufundishe,lol
Sawa kiongozi ila karibu sana Mafia mkuu
 
Mara ya mwisho nilikuwa huko Jan, 2001. Huwa nawaza ni sehemu nzuri sana ya vacation. Iko siku nitafika mkuu, japo sijui kama Mafia Lodge, Kinasi na zingine kama bado zipo.
 
Mara ya mwisho nilikuwa huko Jan, 2001. Huwa nawaza ni sehemu nzuri sana ya vacation. Iko siku nitafika mkuu, japo sijui kama Mafia Lodge, Kinasi na zingine kama bado zipo.
Unkown paradise,usafiri kwa sie wagema ulimbo bado ni kikwazo
 
Buji bado hajaweka lami ule uwanja wa ndege?? Dah mzee.. ni uzoefu mzuri kusafiri na jahazi toka Kisiju siwezi sahau kaka. Hamfiki bandarini mpaka msubirie maji yajae. Kazi kwelikweli. Hivi boti ya kimbau bado ipo??
 
Buji bado hajaweka lami ule uwanja wa ndege?? Dah mzee.. ni uzoefu mzuri kusafiri na jahazi toka Kisiju siwezi sahau kaka. Hamfiki bandarini mpaka msubirie maji yajae. Kazi kwelikweli. Hivi boti ya kimbau bado ipo??
Mkuu mie nimetoka zamani kdogo ila kwenye suala la boti tulizokuwa nazo imebakia 1 tu,boti/mashua ni aina ya usafiri ambao siukubali kabisa c unajua kufa na maji ni kutaka
 

mpaka hapo nakuona we mwenyewe bado bonge la mshamba na unahitaji kuingizwa mjini kuliko hata huyo m-mafia mwenzio.:blah:
 
mpaka hapo nakuona we mwenyewe bado bonge la mshamba na unahitaji kuingizwa mjini kuliko hata huyo m-mafia mwenzio.:blah:
Nakuambia mie nimempita huyu jamaa kwa ushamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…