Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
kuna siku nilimtembelea ragfiki yangu nyumbani kwake.
Jamaa akaniagizia Serengeti mbili na yeye akajiagizia soda, house girl akatumwa kununua.
Muda si muda akaingia mama mwenye nyumba, na haukupita muda si mrefu hausigeli akawa analeta bia mezani.
Yule mama akaanza kufoka kuwa nyumba yake haiwezi kugeuzwa baa, akamkunja shati mume wake na kumwambia "hebu mtoe huyo kinyangarika mwenzako" niliondoka kimya kimya na sitaki tena kumtembelea mtu yoyote nyumbani kwake. Kama ni vikao, tutafanyia bar kama kawa.
mwanamke mjinga huivunja nyumba yake kwa moikono yake mwenyewe.
Jamani eti huyu naye ni mke bora au bora mke?