24 Hours
Member
- Feb 18, 2022
- 41
- 76
Habari,
Nataka kuagiza bidhaa online kwenye site kubwa kama amazon, ebay, aliexpress n.k lakini sina kitambulisho chochote kile, ila nina namba ya simu tu ambayo ni ya mtu.
Sitaki yeyote aniagizie wala sitaki kutumia sanduku la posta la mtu mwingine. nachotaka nikiagiza bidhaa inifikie pasipo kupitia posta wala kuulizwa kitambulisho, inifikie kupitia namba ya simu. mtaa ninaokaa ni uswahilini, hapajakaa kimtaa na kimpango mji, nikimuelekeza mtu kiramani hawezi kuelewa.
Sasa nipeni elimu wakuu kama inawezekana
Nataka kuagiza bidhaa online kwenye site kubwa kama amazon, ebay, aliexpress n.k lakini sina kitambulisho chochote kile, ila nina namba ya simu tu ambayo ni ya mtu.
Sitaki yeyote aniagizie wala sitaki kutumia sanduku la posta la mtu mwingine. nachotaka nikiagiza bidhaa inifikie pasipo kupitia posta wala kuulizwa kitambulisho, inifikie kupitia namba ya simu. mtaa ninaokaa ni uswahilini, hapajakaa kimtaa na kimpango mji, nikimuelekeza mtu kiramani hawezi kuelewa.
Sasa nipeni elimu wakuu kama inawezekana