mjasiriamalimpya
Member
- Feb 3, 2021
- 7
- 7
kwa kweli sina uzoefu nazo..ila kuna harakati nafanya naona nikiwa na pkpk itanisaidiaUshauri wangu, kama wew hauna uzoefu wa pikipiki tangu zamani unataka kuchukulia uzoefu kwenye pikipiki hiyo achana kabsa ila kama una experience yakutosha nunua tu
kutoka kituo cha dala dala hadi hom ni mbali...kwa hiyo hata nisiponunua pkpk kupanda boda×2 haikwepekiKama sio ya biashara ni bora upande daladala tu kaka, jikusanye ununue kigari kidogo, hizo pikipiki ajali nyingi
naomba ushauri..nataka ninunue pikipiki boxer ya kutembelea...nishaulini kuna pkpk nyingine nzuri kwa kutembelea/mizunguko binafsi
naomba ushauri..nataka ninunue pikipiki boxer ya kutembelea...nishaulini kuna pkpk nyingine nzuri kwa kutembelea/mizunguko binafsi
Malizia kabisa 'Kwa maana hujui siku wala saa ajayo Bwana wa Majeshi'Nunua na magongo kabisa kwa maana hujui siku wala saa.
kwa iyo ipi nzuri angalauTatizo la boxes ni kuuwa ringi hata kama unabadilisha oil kila baada wiki mbili au kila baada ya km 500-1000 utaona tu inaanza kutoa moshi.
Risk ni uwezekano wa kutokea kwa jinsi jambo unalifanya maranyingi zaidi.sasa tunafanyeje na uwezo wa gari hatuna...maana ata usipoendesha utapanda bodaboda ..risk iko palepale
Kwani kutoka hapo kituo cha daladala mpaka Home ni balabala ya Ramikutoka kituo cha dala dala hadi hom ni mbali...kwa hiyo hata nisiponunua pkpk kupanda boda×2 haikwepeki
apana ni vumbiKwani kutoka hapo kituo cha daladala mpaka Home ni balabala ya Rami
Jamaa yangu Mangi... Alikula mzinga akaapa hatoendesha pikipiki tena imagine mtu kavunjika miguu yote miwili, mikono yote miwili, na taya zote mbiliNunua na magongo kabisa kwa maana hujui siku wala saa.
Risk ya bodaboda ni Rami sio Vumbi, kama ukutasmini vizuri suala la Risk tathimini Cost Benefit Assessment (CBA) uzuri wake hii njia itakupa majibu then utafanya maamuzi.apana ni vumbi
hii sasa shule kubwa..ni ufafanuzi kidogoRisk ya bodaboda ni Rami sio Vumbi, kama ukutasmini vizuri suala la Risk tathimini Cost Benefit Assessment (CBA) uzuri wake hii njia itakupa majibu then utafanya maamuzi.