Nataka nioe mwanamke wa Kisukuma, Wanyantuzu je wapoje?

Phobia

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,156
Reaction score
1,819
Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.

Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
 
Kwanini ujiulize? Kwani hawana uke?
 
Hivi Tanga ni mbali kiasi hicho?
 

Una ng’ombe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…