Nataka Nipoteze Hisia Nifanyeje? (iam Serious)

Nataka Nipoteze Hisia Nifanyeje? (iam Serious)

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Baraka za Mwenyezi Mungu Ziwe Pamoja Nanyi watu wa Mungu!

Katika kusoma kwangu vitabu Vingi....nimekuja Kugundua kwamba Kutokuwa na Hisia ni Jambo kubwa Mno.

Yaani Hupendi wala Huchukii, yaani u are Emotionless...Kila kitu unaona sawaa tu!

Je Nifanye Nini ili niwe Mtu ambae Hana Hisia?

TheMason!
 
Baraka za Mwenyezi Mungu Ziwe Pamoja Nanyi watu wa Mungu!

Katika kusoma kwangu vitabu Vingi....nimekuja Kugundua kwamba Kutokuwa na Hisia ni Jambo kubwa Mno.

Yaani Hupendi wala Huchukii, yaani u are Emotionless...Kila kitu unaona sawaa tu!

Je Nifanye Nini ili niwe Mtu ambae Hana Hisia?

TheMason!
Mungu Amekuumba Ukiwa Mzima Kabisa Mengine Unajitafutia Mwenyewe Asalale Hujui Unachozungumza Wewe!!!
 
Mungu Amekuumba Ukiwa Mzima Kabisa Mengine Unajitafutia Mwenyewe Asalale Hujui Unachozungumza Wewe!!!
Mkuu Kuna kitu Nataka nitrain sasa inatakiwa ianze na Kupoteza Hisia!
 
Let Translate Together Kitendo Chako Ni sawa Na Mtu Ku Paralyse Means Hana Hisia Na Kitu Chochote Kile Kinachoendelea Then For What??
 
Let Translate Together Kitendo Chako Ni sawa Na Mtu Ku Paralyse Means Hana Hisia Na Kitu Chochote Kile Kinachoendelea Then For What??
simaanishi hivo huyo si ana moyo yaani namaanisha hIsia kama vile upendo, chuki kuumizwa na kitendo fulani au kufurahishwa na kiu fulani
 
Wewe si umesema ni free mason , hemu fanya kumtoa sadaka bimkubwa wako nakuhakikishia baada ya hapo hupokua na hisia tena
 
Unataka kuparalyse [emoji50] [emoji50] [emoji50] . Mungu akupe haja ya moyo wako.
 
ufe tu kama hutaki hisisia zozote we binadam gan, coz hata maumivu utakuw huyasikii, ukidhuriwa mwilini
 
Back
Top Bottom