Nataka nitoe ushamba, nipande ndege kwa mara ya kwanza

Nataka nitoe ushamba, nipande ndege kwa mara ya kwanza

Udochi

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
787
Reaction score
1,056
Wakuu,
Ndugu yenu nina umri wa makamo (ni kati ya 23 na 26).
Miongoni mwa vitu ambavyo nina ushamba navyo,
Ni suala la kutopanda ndege.

Hivyo naomba wakuu mnisaidie gharama na utaratibu wa kusafiri kwa ndege kwenda na kurudi Mwanza au Kilimanjaro kutoka Dar es Salaam,
Nataka nikakae japo wiki 1 Katika mikoa tajwa kisha nirudi Dar.

Sina ndugu wala shughuli ya kwenda kuifanya huko mikoani,
Ila lengo langu kuu ni KUPANDA NDEGE TU ILI NITOE USHAMBA.

Msaada wakuu
Ili nianze kujipanga kibajeti.
 
Nakushauri uende zanzibar na fastjet, nauli ya chini ni 27,000Tshs
 
Google fastjet hapo kwenye TECNO/ desktop yako afu utakuta menu ya kufanya booking jichagulie tarehe pendwa na gharama zote ziko hapo go&return ujipatie ticket yako...!
 
Rwanda ukute ulikuja na malari ya mizigigo kupitia rusumo..[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12]


Yaani ndio hivyo ndugu yangu dhiki hizii...lakini maisha yanakwendaa Mungu yu mwema
 
Yaani ndio hivyo ndugu yangu dhiki hizii...lakini maisha yanakwendaa Mungu yu mwema
Na kisura chako kizuri bado ujaweza kutembelea matako au sura ya kuazima...
 
Ni jambo zu Jetro sana tumia fursa ya Fast Jet. Usienei Zanzibar kwa sasa sikushauri kuna Kipindupindu na hoteli hazitoi huduma ya chakula. Nenda ulikochagua as nauli relatively cheap. nenda Mwanza unaqeza kutalii kisiwa che bha Saa nane. All test.
 
Wanaume wa Dar shidaaaa.
Lazima uone shida wa ndio utakuwa mmoja wa wale matajiri wa kusin wenye utajir wa masharti ya kutotembelea magari mazur ,kulala chini,kushindia maandazi na juice ya sayona,,jamaa unataka kutumia jasho lake shida ni nin mzee we endelea kuvizia fuso za mizigo pale kimara zikurudishe huko kwenu kusini ukileta mzigo town ACHa wasofungwa na masharti ya waganga wa enjoy life
 
Wakuu,
Ndugu yenu nina umri wa makamo (ni kati ya 23 na 26).
Miongoni mwa vitu ambavyo nina ushamba navyo,
Ni suala la kutopanda ndege.

Hivyo naomba wakuu mnisaidie gharama na utaratibu wa kusafiri kwa ndege kwenda na kurudi Mwanza au Kilimanjaro kutoka Dar es Salaam,
Nataka nikakae japo wiki 1 Katika mikoa tajwa kisha nirudi Dar.

Sina ndugu wala shughuli ya kwenda kuifanya huko mikoani,
Ila lengo langu kuu ni KUPANDA NDEGE TU ILI NITOE USHAMBA.

Msaada wakuu
Ili nianze kujipanga kibajeti.



Usiwe na shaka ndugu yangu. Ukishapanda ndege jaribu kufungua dirisha ikiwa angani maana mle kuna kila aina ya harufu chafu itakayokupa kichefuchefu. Mi mwenzio nimezoea kila nikipanda ndege nakaa dirishani ili niteme mate.
 
Jamaa anataka kupanda ndege bana mbona unampa nauli ya boat
Ndo nauli ya fastjet hiyo! 27,000Tsh everything paid!
Sema hautafurfahia safari, ukipaa tu baada ya dakika 5 mnaanza shuka
 
Ndo nauli ya fastjet hiyo! 27,000Tsh everything paid!
Sema hautafurfahia safari, ukipaa tu baada ya dakika 5 mnaanza shuka
Hahahaa ni kweli ni safari fupi sana lakin kwasabu ni mara ya kwanza atakua anxious ata-enjoy tu... afu hyo nauli mkuu ni ya mwaka gani? Mana nauli ya go&return dar-zenj si chini ya laki na hapo awe amekata tiketi wiki mbili kabla labda
 
Back
Top Bottom