Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

Nmeongea na mtoa mada, anasema yule demu bado anajipigia mpaka muda huu na biashara imezaa biashara nyngn yn kwa ufupi ni mambo moto
 
kama unaona kweli unahisia za kumpenda na kumjali, kama ulishakaa ukamuwaza na kumtamani kabla ya tukio lililowakuta basi mgeuze awe mke kabisa biashara yako aiyone ni yake. Chako chake chake chako

Ila kama ni kipururu tuu utacheza na hisia zake ata cheza na biashara yako na siajabu akagusa na pengine ishi ukiamini vita vya nafsi ni vigumu
kuwa makini swaiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…