Nataka nitoke na madada wawili mda huu mpo tayari

Nataka nitoke na madada wawili mda huu mpo tayari

haya sasa ona watu walivyokushambulia na una bahati kubwa lao Mwanamalundi amelala, ungeisoma ila una slighestt chance ya kutoka na Lala 1 , kama una pesa ya runway, mediterrenean, ambassadors ndo ujikamue mwanawane

mwambie aniPM
 
Last edited by a moderator:
we nahisi utakuwa mmakonde

.., wewe JIPU' acha ushenzi wako! Hauna hata aibu' tena unatanguliza "ASALAAM ALYUK" mpuuzi mkubwa wewe, unawadharirisha wenzio, acha kabisa tabia hii chafu.
 
.., wewe JIPU' acha ushenzi wako! Hauna hata aibu' tena unatanguliza "ASALAAM ALYUK" mpuuzi mkubwa wewe, unawadharirisha wenzio, acha kabisa tabia hii chafu.

hujaitwa humu
 
we nahisi utakuwa mmakonde

😱hwell: hujakosea sana mjukuu wangu. mimi mtu wa kaskazini lakini nimeishi na wamakonde wa mozambique miaka 4 wakati napigana katika vita ya RENAMO na FRELIMO. so wamakonde ni ndugu zangu! ila mjukuu wangu acha kuendekeza ngono, tafuta maisha. pili, JF sio mtandao wa ngono...JF is for great thinkers and not for the people of your type!😱hwell:
 
Dogo unataka ku click two in one, siyo? Watoto wa sikuhizi kwa kujaribu jaribu mambo bwana!!
 
Asalaam alyuk ndugu zangu leo nmeona / kujickia kutoka na totozi mbili za humu kusherehekea huu mwaka aliyetayari tuwasiliane kwa PM
Assignment umemaliza au starehe tu?..utarudi kwenu ukauze mahindi kwenye makopo oohh..soma kijana
 
Back
Top Bottom