INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
-
- #21
Unaongeaga pumba sana
LEO NAKUCHANA
Im just getting started dumb ass.Halafu umepata nini ulivyotukana
Wewe kweli zezeta
Huwa ananikera sana huyu fala ni hii comment yke!Unaongeaga pumba sana
LEO NAKUCHANA
Achana nae koro huyu!Halafu umepata nini ulivyotukana
Wewe kweli zezeta
wewe nguvu za kiume zimekuishia wewe si bure
Wakutulia na demu mmoja utakua wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora utulie mkuu. Ukiwa mrukarukaji hata maendeleo yako yanakua hafifu kikubwa kumpata mtu atakayekupenda kwa dhati na kukubali kuwa nawe kwenye hali yoyote.Broh nmeruka sana mda wa kutulia am ready for everything
Sent from my iPhone using JamiiForums
Keep yourself very busy na kazi , nahisi itakua njia mbadala, (probably).Husika na kichwa hapo juu, Napenda sana kutulia na demu mmoja lakini nashindwa nimetumia mbinu nyingi lakini wapi najikuta natafuta madem wengine.
Bado nikienda batani lazima nitafute dem wa kutoka nae hata kumla. Kiukweli siipendi hii situation Huwa inakuja yenyewe tu.
Napenda kutulia na mpenzi mmoja na pia nabahati ya kupata mademu wanaonipenda kwa dhati sema wengi wananiacha kwasababu ya tabia zangu hizi za umalata.Naombeni ushauri wana JF nifanyaje ili niweze kutulia na demu mmoja bhasi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Keep yourself very busy na kazi , nahisi itakua njia mbadala, (probably).
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora utulie mkuu. Ukiwa mrukarukaji hata maendeleo yako yanakua hafifu kikubwa kumpata mtu atakayekupenda kwa dhati na kukubali kuwa nawe kwenye hali yoyote.