Nataka nitulie na demu mmoja

Je naruhusiwa kufuatilia Michango ya WADAU?
 
Write your reply...acha kupingana na nature yako we are natural polygamist mwanaume kuwa na demu mmoja huko ni kuzalilisha jinsia yako unless otherwise uwe mwanaume wa dar lakn hata wao hawanaga mmoja basi tutaku term Kama auntie kaoge
 
Keep yourself very busy na kazi , nahisi itakua njia mbadala, (probably).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora utulie mkuu. Ukiwa mrukarukaji hata maendeleo yako yanakua hafifu kikubwa kumpata mtu atakayekupenda kwa dhati na kukubali kuwa nawe kwenye hali yoyote.

Ninae tyr naona ana direction


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…