Nataka niuze story kwa msanii wa bongo movie, nipeni utaratibu na mbinu

Nataka niuze story kwa msanii wa bongo movie, nipeni utaratibu na mbinu

xtaper

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
3,319
Reaction score
4,701
Wakuu habari zenu,

Mimi ni kijana na nimepitia mengi katika maisha yangu ya kimahusiano. Nimekua na kila aina ya wanawake tangu nilipokua kapuku mpaka leo naweza kwenda 4ways na kulipia bill wateja wote waliopo kwa muda huo.

Kutokana na love life yangu nimeiona ni story nzuri na itauza sana so nahitaji mnipe mbinu na makadirio ya bei ya kuuza story yangu.

Ikitengenezwa kwa muono wangu itakua one of the greatest bongo movie in TZ.
 
tusimulie kwanza hata kidogo mkuu.(tupe sample ya bidhaa yako)
 
Wakuu habari zenu,

Mimi ni kijana na nimepitia mengi katika maisha yangu ya kimahusiano. Nimekua na kila aina ya wanawake tangu nilipokua kapuku mpaka leo naweza kwenda 4ways na kulipia bill wateja wote waliopo kwa muda huo.

Kutokana na love life yangu nimeiona ni story nzuri na itauza sana so nahitaji mnipe mbinu na makadirio ya bei ya kuuza story yangu.

Ikitengenezwa kwa muono wangu itakua one of the greatest bongo movie in TZ.
mtafute Steve Nyerere na wenzake wanaotupiaga pesa waaandishi wa habari watakusaidia.
 
Shida hamna mwenye hela..we baki na story yako tu.
 
Hata kama umetembea na wanawake wengi..aseee sidhani kama wamefika 100...Kama hujafikisha hiyo idadi basi umeonja tu UJANA mkuuu...
 
Hata siyo uongo, umepitia mengi sana... mpaka sasa hivi unahaha kujua wapi wanauza p.orn cd...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom