xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,319
- 4,701
Wakuu habari zenu,
Mimi ni kijana na nimepitia mengi katika maisha yangu ya kimahusiano. Nimekua na kila aina ya wanawake tangu nilipokua kapuku mpaka leo naweza kwenda 4ways na kulipia bill wateja wote waliopo kwa muda huo.
Kutokana na love life yangu nimeiona ni story nzuri na itauza sana so nahitaji mnipe mbinu na makadirio ya bei ya kuuza story yangu.
Ikitengenezwa kwa muono wangu itakua one of the greatest bongo movie in TZ.
Mimi ni kijana na nimepitia mengi katika maisha yangu ya kimahusiano. Nimekua na kila aina ya wanawake tangu nilipokua kapuku mpaka leo naweza kwenda 4ways na kulipia bill wateja wote waliopo kwa muda huo.
Kutokana na love life yangu nimeiona ni story nzuri na itauza sana so nahitaji mnipe mbinu na makadirio ya bei ya kuuza story yangu.
Ikitengenezwa kwa muono wangu itakua one of the greatest bongo movie in TZ.