Nataka niwape stori za ndani ndani kuhusu kiongozi mmoja nchini

Nakazia📌🔨📌🔨hapa ni minyororo⛓️⛓️ mizito tunayo katika fikra zetu bado sana😭😭
 
Wewe mleta mada kama unakaa mjini na nyumbani kwenu ni kijijini utakubaliana na mimi ukienda kwenu kuwasalimia lazima uende na chenji kadhaa za 1000 na 2000/=. Bila hivyo watakuganda na wengine watalala mlangoni! Hii hali ni Tanzania nzima!
 
Anayeleta maendeleo ni mbunge au serikali kupitia kodi zetu? Ulitaka atoe mabilioni mfukoni mwake ajenge barabara? Mbunge ambaye pia ni waziri atashindwa kuwapikia chakula watu wake kwa siku chache? Huu uzi wako ni WA KIKUDA.
 
Ndio maana juzi Geita nimeona traffic police wengi sana mpaka mida ya saa 3 usiku jambo ambalo sio kawaida. Basi jamaa alilala ka lodge kamoja kakishamba kanaitwa Harvest Hotel hapo Geita Town.
 
watakaopinga andiko lako wameamua tu. umenena!
 
Sijaona kosa la Naibu Waziri Mkuu hapo.

Siyo kazi wala wajibu wa Mbunge kumuwekea mwananchi pesa mfukoni.

Kupeleka fedha za Maendeleo jimboni siyo kazi ya Mbunge bali ni wajibu wa serikali kama Executive.

Mbunge ana wajibu wa kuisimamia na kuishauri serikali.
 
Mada yako imenikumbusha miaka ya 1975 Chaim Herzog gave a firebrand speech to the UN General Assembly, walijadili kitu kama hiki leo tena nimekiona umekileta tena hapa jamvini
Dah mangi umenikumbusha mbali sana nakumbuka vizuri sana siku hiyo nilikuwa miongoni mwa jopo la madelegates wanadiplomasia mwalimu alitutuma
 
Ndio maana juzi Geita nimeona traffic police wengi sana mpaka mida ya saa 3 usiku jambo ambalo sio kawaida. Basi jamaa alilala ka lodge kamoja kakishamba kanaitwa Harvest Hotel hapo Geita Town.
Wee mbusiii
 
Mkuu haya mambo ni tamaduni za watu, wasukuma wanaamini sana ktk ujamaa. Pia watu wa pwani. Binafsi spending kumoigia magoti mwanaume mwezangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…