Nyie akina mama wajane ndio mnashangaza zaidi, kama hapa unaandika ujinga mtupu halafu huwezi kusupport unachoandika with factsWanafanya uwasherati, hiyo ni kesi nyingine.
Unajuwa wanawake mnachekesha sana! Mnaenda kulia lia kanisani mpewe wanaume wa peke yenu wakati wanaume ni wachache! Mungu anawacheka tu maana mmekosa maarifa!
Tatizo sijakidhi vigezo na masharti besti,Tupa ndoano best,waweza vua samaki huyu![emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wewe una shida zako tu, hata hao wajane pia wanahitaji kuolewa.Nyie akina mama wajane ndio mnashangaza zaidi, kama hapa unaandika ujinga mtupu halafu huwezi kusupport unachoandika with facts
Unajua tofauti ya Uzinzi na uasherati? Mbona umejibu vice versa?
Btw, bring in here hayo maandiko yanayoagiza kila mwanamke aolewe.
Ukishindwa kulileta hilo, basi wewe ni mkurupukaji butu mjane unayetamani waume wa wenzio.
Badili dini sasa!maana ukibaki na unaswara wako watakufanya mchepuko sio mke.Habari wakuu!
Nina miaka 27, elimu yangu ni degree moja, sijawahi kuolewa na sina mtoto, dini yangu ni mkristo. nataka kuwa mke. Ila ningependa kuolewa na mwanaume ambae ana mke tayari.
Nitafurahi sana kama akitokea mtu Mwenye nia ya kweli.
Natanguliza shukrani.
Huna sababu ya msingi.Badili dini sasa!maana ukibaki na unaswara wako watakufanya mchepuko sio mke.
Ninayo sababu ya msingi hii hapa isome!wewe ndio hujauliza,mkristo haoi mke wa pili,waislamu hawawezi kufunga ndoa na mkristo,sasa niambie unaolewaje mke wa pili?Huna sababu ya msingi.
A christian lady wanting to become a second wife!!!!!! AmazingHabari wakuu!
Nina miaka 27, elimu yangu ni degree moja, sijawahi kuolewa na sina mtoto, dini yangu ni mkristo. nataka kuwa mke. Ila ningependa kuolewa na mwanaume ambae ana mke tayari.
Nitafurahi sana kama akitokea mtu Mwenye nia ya kweli.
Natanguliza shukrani.
Upo sawa kakaNinayo sababu ya msingi hii hapa isome!wewe ndio hujauliza,mkristo haoi mke wa pili,waislamu hawawezi kufunga ndoa na mkristo,sasa niambie unaolewaje mke wa pili?
Labda anataka kuwa nyumba ndogo mkuu!Upo sawa kaka
Hata mm nimemuuliza kwa dini gan??
Tupo serious lakin namuona bint amepanic
Kajitambulisha ujueUmri unahusianaje na mtu kuwa mke wa pili? Unamaanisha mtu kuwa mke wa pili ni kukosa kabisa mume wa peke yake?
Hata sijapanic ila hamjanipa sababu kwanini mkristo haoi mke zaidi ya mmoja!Upo sawa kaka
Hata mm nimemuuliza kwa dini gan??
Tupo serious lakin namuona bint amepanic
Duuh,sababu?!Hata sijapanic ila hamjanipa sababu kwanini mkristo haoi mke zaidi ya mmoja!
Loveless,hongera kwa kuamua kuusema ukweli unaowashinda wengi, Nimefurahi jinsi unavyo jiamini na kutetea msimamo wako, kwa uamuzi huu utatukanwa, utabezwa na kudhihakiwa, umeamua kuukubali uhalisia nina imani Utampata atakae kuelewa na kila la heri.Hata sijapanic ila hamjanipa sababu kwanini mkristo haoi mke zaidi ya mmoja!