Nataka niwe mke wa pili

Nataka niwe mke wa pili

Hawa walikuwepo kabla hata ya Cristo, na waliongea na Mungu aliemleta Cristo.
Na baada ya yesu bado wanawake ni wengi, hebu tuseme kila mmoja aoe wake itakuwaje?

Yesu alisema wapi kuwa mwanaume amuoe mke mmoja?
Bado hujajibu swali nililokuuliza...nimekuuliza je hao walikuwa Wakristo?

Kuhusu Yesu kusema, sio lazima atamke yeye ndio maana meeengi mno aliyoyasema na kuyafanya hayajaandikwa katika Biblia. Sawa?

Mistari ifuatayo inathibitisha wazi kuwa lilikuwa ni kusudi la Mungu kumuumba Mume na Mke mmoja.

Kitabu cha Mwanzo: Neno linatuambia kuwa Naye Mungu alimuumba Mtu mume siku ya 6, inaendelea kuwa naye Mungu aliona si vema mtu huyu kuishi peke yake ila akampatia "Mwenzake" sio "Wenzake" ili awe "msaidizi" wake akaitwa Hawa.

Kwahiyo Adam hakuumbiwa wake wengi.

Mwanzo 1:27, Mwanzo 2:24

2) PAULO anatuambua katika

1TIMOTHEO: 3:2 yakuwa:

Basi imempasa Askofu kuwa mtu asiyelaumika, "MUME WA MKE MMOJA" mwwnye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji ajuaye kufundisha.

3) Waefeso 5:22-23 mwishoni panasema:

"Ampendaye Mkewe hujipenda mwenyewe"

4) Mathayo 19: 5 inasema hivi:

Kwasababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.

Ikiwa wewe unataka kuelewa na sio kuwa MBISHI utakubaliana na hizo injili za Wakristo wa kwanza hapo juu.

Lakini kama lengo lako ni kubisha na kulazimisha uwepo wa ukewenza basi ni wewe na si neno la Mungu.
 
Nimekupenda bure
Unajitambua hakika na ninakuapia kwamba utampata mume bora maadam tu umechagua fungu jema
Nawashangaa sana wanawake wasipenda mfumo huu uliouchagua
Wanaume wenyewe tupo kiduchu humo humo wapo wasiokuwa na kipato mashoga wanaume wasiokuwa mababa na asilimia ndogo sana ambao ni wanaume mababa halafu unakuta mwanamke full kujishaua ohhh mie hivi mie vile masharti kama kalumanzila
Ngoja uzeekee kwenu ndo utajua Baba wa wanao hayupo
 
Mwanamke mmoja ambaye yupo ndoa ya wake wawili aliwahi kuniambia kuwa anajisikia vizuri kwenye ndoa hiyo kwa sababu inampatia hamu ya kufanya mapenzi hasusan pale anapowaza jinsi mumewe anavyomtia bimkubwa wake eti na yeye hamu inapanda!
 
Soma kitabu cha mwanzo ( 4:19) wafalme 1, aya (11:3).

Labda uniambie Mungu wa zamani na sasa ni tofauti!

Au sio wakristo tunaotumia bible hii?
Hakuna Mungu wa zamani na wasasa

Agano la kale lilieleza mambo mengi maovu yaliyofanywa na wanadamu wa zamani ili kutufunza wote na utimilifu ukafanyika katika Agano jipya,

Mifano ni kama kiburi cha Farao, mke wa Lutu, Nebukadnezzer na wengine...kwani Mungu hakuwaona? Unajua kwanini aliwaacha kwanza wafanye yakwao?

Katika suala la Mfalme Suleiman ndio maana yeye mwenyewe hata baada ya kupata utajiri wooote na wanawake alikuja kusema:-

"Na haya yote ni kujilisha upepo"

Wewe unapaswa usome theology ili uielewe Biblia vizuri.
 
Hakuna Mungu wa zamani na wasasa

Agano la kale lilieleza mambo mengi maovu yaliyofanywa na wanadamu wa zamani ili kutufunza wote na utimilifu ukafanyika katika Agano jipya,

Mifano ni kama kiburi cha Farao, mke wa Lutu, Nebukadnezzer na wengine...kwani Mungu hakuwaona? Unajua kwanini aliwaacha kwanza wafanye yakwao?

Katika suala la Mfalme Suleiman ndio maana yeye mwenyewe hata baada ya kupata utajiri wooote na wanawake alikuja kusema:-

"Na haya yote ni kujilisha upepo"

Wewe unapaswa usome theology ili uielewe Biblia vizuri.
Wewe endelea na theologian yako, harafu uje uniambie kama watu wa zamani walikuwa na wake wengi na wali ongea na Mungu, harafu wewe uliekuwa na mmoja ni nini kinatokea?

Harafu ujue wanawake wote tunatakiwa kuolewa ili tuuepuke uzizi, na tunaolewaje mmoja mmoja kwa mwanaume mmoja wakati wanaume wenyewe ni wachache na Mungu anaujua uchache huo!

Acha kudanganya wanawake, acha waolewe kuuepuka uzizi!
Inaonekana utakuwa umeolewa wewe hujui wanawake wengine wanavyohitaji kuwa na mme pia! Unataka zinaa iende hadi wapi??????

Hiyo theologia ilete bas suluhisho litakalo tupa uwezo wa kila mwanamke kuwa na Mme wake.

Vimada kibao, bado mmeshupalia mke mmoja!!
 
Wewe endelea na theologian yako, harafu uje uniambie kama watu wa zamani walikuwa na wake wengi na wali ongea na Mungu, harafu wewe uliekuwa na mmoja ni nini kinatokea?

Harafu ujue wanawake wote tunatakiwa kuolewa ili tuuepuke uzizi, na tunaolewaje mmoja mmoja kwa mwanaume mmoja wakati wanaume wenyewe ni wachache na Mungu anaujua uchache huo!

Acha kudanganya wanawake, acha waolewe kuuepuka uzizi!
Inaonekana utakuwa umeolewa wewe hujui wanawake wengine wanavyohitaji kuwa na mme pia! Unataka zinaa iende hadi wapi??????

Hiyo theologia ilete bas suluhisho litakalo tupa uwezo wa kila mwanamke kuwa na Mme wake.

Vimada kibao, bado mmeshupalia mke mmoja!!
Kekereeenkede...waandika nini ewe ukurupukaye?

Harafu [emoji117] Halafu

Theology [emoji117] Theologian

Uzizi [emoji117] Uzinzi

Uliekuwa [emoji117] Uliyekuwa

Kwanini usijifunze kwanza kuandika vizuri?

Halafu ni wapi umetoa hayo maneno kuwa

"Wanawake wote lazima waolewe"

Hebu nioneshe ushahidi wa maandiko kama nilivyokuonesha mimi.

La sivyo utakuwa mbwabwajaji kutu.

Sawa? Lete maandiko hapa wewe.
 
Kekereeenkede...waandika nini ewe ukurupukaye?

Harafu [emoji117] Halafu

Theology [emoji117] Theologian

Uzizi [emoji117] Uzinzi

Uliekuwa [emoji117] Uliyekuwa

Kwanini usijifunze kwanza kuandika vizuri?

Halafu ni wapi umetoa hayo maneno kuwa

"Wanawake wote lazima waolewe"

Hebu nioneshe ushahidi wa maandiko kama nilivyokuonesha mimi.

La sivyo utakuwa mbwabwajaji kutu.

Sawa? Lete maandiko hapa wewe.
Kama hawataki kuolewa kwa nini wanakuwa vimada?
 
Kekereeenkede...waandika nini ewe ukurupukaye?

Harafu [emoji117] Halafu

Theology [emoji117] Theologian

Uzizi [emoji117] Uzinzi

Uliekuwa [emoji117] Uliyekuwa

Kwanini usijifunze kwanza kuandika vizuri?

Halafu ni wapi umetoa hayo maneno kuwa

"Wanawake wote lazima waolewe"

Hebu nioneshe ushahidi wa maandiko kama nilivyokuonesha mimi.

La sivyo utakuwa mbwabwajaji kutu.

Sawa? Lete maandiko hapa wewe.
sio lazima uandikiwe kwamba kila mwanamke anataka kuolewa, itazame jamii harafu jiulize kwa nini kuna vimada kila kona! Wangekuwa wameolewa wasingeendekeza uzinzi!

Sio lazima uandikiwe unaweza kuwa wa kwanza kuandika kwa kuitazama jamii.
 
sio lazima uandikiwe kwamba kila mwanamke anataka kuolewa, itazame jamii harafu jiulize kwa nini kuna vimada kila kona! Wangekuwa wameolewa wasingeendekeza uzinzi!

Sio lazima uandikiwe unaweza kuwa wa kwanza kuandika kwa kuitazama jamii.
Kwahiyo watu wakiolewa hawawi Wazinzi?
 
Kwahiyo watu wakiolewa hawawi Wazinzi?
Wanafanya uwasherati, hiyo ni kesi nyingine.

Unajuwa wanawake mnachekesha sana! Mnaenda kulia lia kanisani mpewe wanaume wa peke yenu wakati wanaume ni wachache! Mungu anawacheka tu maana mmekosa maarifa!
 
Back
Top Bottom