G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Wakuu salaam,
Kama mada inavyosema nina gari zangu mbili zipo tu hazina shughuli. Moja ni Ti Carina na nyingine ni Spacio new model, sitaki kuwapa madereva wa mtaani maana sitaki usumbufu. Nataka nizisajili kwenye kampuni ya uhakika ili ziniingizie fedha ya uhakika bila gari zenyewe kupata dhoruba za hapa na pale za hawa madereva wetu.
Mwenye kujua sehemu ya uhakika naomba tusaidiane tafadhali na wazo litakalonifaa kisha nikali apply na kuona matokeo yake napenda kusema kwa dhati kuwa nitatoa fadhila kwa aliyetoa wazo hilo.
Naomba tusaidiane kwa wale wenye mawazo tafadhali.
Kama mada inavyosema nina gari zangu mbili zipo tu hazina shughuli. Moja ni Ti Carina na nyingine ni Spacio new model, sitaki kuwapa madereva wa mtaani maana sitaki usumbufu. Nataka nizisajili kwenye kampuni ya uhakika ili ziniingizie fedha ya uhakika bila gari zenyewe kupata dhoruba za hapa na pale za hawa madereva wetu.
Mwenye kujua sehemu ya uhakika naomba tusaidiane tafadhali na wazo litakalonifaa kisha nikali apply na kuona matokeo yake napenda kusema kwa dhati kuwa nitatoa fadhila kwa aliyetoa wazo hilo.
Naomba tusaidiane kwa wale wenye mawazo tafadhali.