Discoverer
Member
- Jul 16, 2009
- 58
- 12
Wataalam na wanazuoni mliko jamvini. Nina mtoto mmoja mwenye miaka miwili sasa. sijawahi kutumia aina yoyote wa njia za uzazi wa mpango na wala uzazi wangu hauna shida. Kwa sasa nina plan kupata ujauzito wa pili ila ningependa nizae mapacha. Kwenye familia yangu na upande wa mwenzagu hakuna historia ya mapacha. Je nitumie njia gani au dawa gani??? Naomba ushauri
...... Kule Houston, TX kuna mama mmoja alikuwa na ka hobbie kama kako yeye aliomba wampandikize mayai nane, sasa hivi analea hao watoto wake. Pesa yako tu ndugu 'mvumbuzi'.
Hapo mama ni timing tu vitu vikichungulia tu megwa.
utapata mawazo mengi sana kwa hii mada hapa....ila best thing ni kuenda kwa washauri wataalamu ambao watakupa njia za kutoa dozi za mapacha......
hahhahahah Carol mbona wamshambulia hivyo mwenzio mummy? mwache bwana kama ana fantasy hiyo basi mwache aitafute ikishindikana atainua mikono, sidhani kama ana lengo la kumkufuru Mungu au kwamba hatosheki na alichopewa sometimes inakuwa ni fantasy tuu.labda anataka akizaa wawili wawe watatu apumzike.Huyu anatest zali la mentali ooh! watu wanatafuta watoto wanakosa yeye analeta gozi gozi la mapacha.
Ili upate mapacha wa jinsia tofauti, wasiliana nami ktk private massage.
Ukitaka mapacha fuata njia hii, siku ya 8-12 utapata mapacha wa kiume watupu, siku ya 13-16 mapacha wa kike tu.
Chakufanya ukitaka jinsia yoyote fanya tendo la ndoa ktk siku yoyote nilizotaja hapo juu, kisha tumia kwa wingi soya ktk wiki 12 za mwanzo,
Soya itasababisha yai lilorutubishwa kugawanyika haraka na kupata mapacha wa jinsia mojawapo,
Ili upate mapacha wa jinsia tofauti, wasiliana nami ktk private massage.