Ishu sio chadema wala CCM,ishu tunatakiwa tuwe na serikali moja,taifa moja na nchi moja ya Tanzania,yenye Rais mmoja,Bunge mmoja,na dola moja!na sio mbili mbili kama sasa huyo ndio ubaguzi mkuu unatuletea kero za MUUNGANO!!
Tukiwa wamoja wenye haki sawa wote hakutakua na kero za MUUNGANO tena nchini!!!
Kero hizi ni matokeo ya serikali mbili,Bunge mbili,mahakama mfumo mbili yaani mbili mbili WAKATI wengine wanataka tatu tatu ambayo sio KABISA!!
Tukianza tatu tatu tunaua mawazo ya NYERERE na karume kuungana!!