Nataka ujinga kwani mimi?

Nataka ujinga kwani mimi?

nataka ujinga kwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sipendag kabisa ujinga mm
 
*```Usiku nimeota ndoto nimekamatwa na polisi na kupakiwa kwenye difenda kuelekea kituoni.```*
*```Sa wakati tunakaribia kufika kituo cha polisi,nikaamua zangu kushtuka.```*

*```Sipendagi Ujinga Mimi```*
 
[emoji1]
 

Attachments

  • 1475160366318.jpg
    1475160366318.jpg
    53.4 KB · Views: 51
Ukichukua simu ya demu wako halafu pale kwenye most used emoji unakuta zimejaa [emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji182][emoji182] halafu we kila siku anakutumia [emoji603][emoji382][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji30][emoji30] jua kuna mwanaume mmoja ambae hapendagi ujinga.
 
huu msemo wa sipendi ujinga mimi..
umetokea wapi...? jamani[emoji23]
Ni msemo wa kijinga unaoshadadiwa na watanzania tena kizazi cha mitandao....afu eti tuje tutengeze basic material a.k.a made in Tanzania ahaa ahaaa bongoland lala mind
 
Ukichukua simu ya demu wako halafu pale kwenye most used emoji unakuta zimejaa [emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji182][emoji182] halafu we kila siku anakutumia [emoji603][emoji382][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji30][emoji30] jua kuna mwanaume mmoja ambae hapendagi ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uwii
 
Back
Top Bottom