x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
Amani
iwe nanyi ndugu zangu kwa heshima yangu kwenu naomba kuwasilisha
matokeo kidato cha nne fulani ili uweze kunijuza kama inawezakana kwa
matokeo hayo muhusika akapata chuo cha umeme popote Tz iwe dip au cert
ikiwezekana unijuze na upatikanaji wa ajira baada ya kumaliza mafunzo
hayo.Matokeo hayo nikama ifuatavyo:
physics C
chemistry D
biology C
mathematics F
Kiswahili C n.k
muhusika anapenda fani ya umeme kutoka moyoni kuliko fani yoyote
Duniani,ushauri wako tafadhali asante.
iwe nanyi ndugu zangu kwa heshima yangu kwenu naomba kuwasilisha
matokeo kidato cha nne fulani ili uweze kunijuza kama inawezakana kwa
matokeo hayo muhusika akapata chuo cha umeme popote Tz iwe dip au cert
ikiwezekana unijuze na upatikanaji wa ajira baada ya kumaliza mafunzo
hayo.Matokeo hayo nikama ifuatavyo:
physics C
chemistry D
biology C
mathematics F
Kiswahili C n.k
muhusika anapenda fani ya umeme kutoka moyoni kuliko fani yoyote
Duniani,ushauri wako tafadhali asante.