pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
mashangaz wanakutumia kumaliza haja zao za kimwili tu jombaa ila kiuchum haawakusaidii lolote ni wachache wanaofanya hivyo , na hao wachache ndio unakuta mwanaume KAOLEWA badala ya kuoa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora mashangazi tu maninaaa
kazi zipi, za saidia fundi ama zipi ambazo sijawai fanya na nyingin wew huwez hata kuwaza kua utakuja fanyaFanya kazi wewe...
Sawa sawa acha iwe hivo mkuu....mashangaz wanakutumia kumaliza haja zao za kimwili tu jombaa ila kiuchum haawakusaidii lolote ni wachache wanaofanya hivyo , na hao wachache ndio unakuta mwanaume KAOLEWA badala ya kuoa..
Poor Brainπππππππ
Bora mashangazi tu maninaaa
Naaam naaam naaam nipo hapa nainjoi na maisha
Skuizi vijana wengi wamekua wavivu grade 1Fanya kazi wewe...
hawa wako ulimweng wagiza kwaio wacha na yeye apate utajir kupitia huko..
Nakuunga mkono.πππππππ
Bora mashangazi tu maninaaa
ujinga huo.jombaa, unakaa frontline unawapigania watu huku wanasiasa wako wamevimba matumbokwa ulafi wa madaraka wamekaa kwenye ac wanawatuma nyie mpigane ..Sawa ombi lako limesikika,
Jitayarishe kwa safari ya kwenda Ukraine front line.