pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
- Thread starter
- #41
ndio hivyo mkuu tunaitafuta hio sir na mim nitajirke kuepuka zarau na shida shida za kijingaPambania ndoto zako utajir unasiri pesa inasiri kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio hivyo mkuu tunaitafuta hio sir na mim nitajirke kuepuka zarau na shida shida za kijingaPambania ndoto zako utajir unasiri pesa inasiri kubwa
Hawa wanazan ukiwa kapuku ndio labda utaonewa huruma kua haufi 😂😂😂😂Kwa konekshen ya utajir huo na Mm naitaka. Potelea mbali wazeee kufa kupo tu
Ahahah pambaandio hivyo mkuu tunaitafuta hio sir na mim nitajirke kuepuka zarau na shida shida za kijinga
Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mshahara kucheleweshwa kidogo tu unataka utajiri wa giza😂
Mad Max
Pole sana mzee hasira hutoka kwa maskin tuUtakuwa tayari kuinamishwa na makata kila wiki? Alaf anakitupa ndani
Rais tshisheked atanishangaa nazunguka kongo muzima bila kwenda mahala husikaNenda congo
Mwachiluwi hujambo?Ahahaha
Kwa hiyo mm nina hasira na mendeleo utakayoyapata huko gizani?Pole sana mzee hasira hutoka kwa maskin tu
Rais tshisheked atanishangaa nazunguka kongo muzima bila kwenda mahala husika
Sijamboo shikamooMwachiluwi hujambo?
Marahaba, hapo bungeni unaendeleaje?Sijamboo shikamoo
Marahaba, hapo bungeni unaendeleaje?
Si uongee na Nyamwi255 au Nikifa MkeWangu Asiolewe wakutumie laki laki mida hii kabla wikendi haikafikaVibaya njaa inauma barid
Si uongee na Nyamwi255 au Nikifa MkeWangu Asiolewe wakutumie laki laki mida hii kabla wikendi haikafikaVibaya njaa inauma barid
Si uongee na Nyamwi255 au Nikifa MkeWangu Asiolewe wakutumie laki laki mida hii kabla wikendi haikafika
Ahajha waambie wewSi uongee na Nyamwi255 au Nikifa MkeWangu Asiolewe wakutumie laki laki mida hii kabla wikendi haikafika
😂😂😂🙌🙌🙌 Sio poa aiseeeNakuunga mkono.
Bora shangazi, unajipooza, na bado linakuinua.
Pm wanasema kuna tatzo ni pm whaspp number yako.Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa..inasaidia nini kwa mfu..leten konekshen tujitose ,, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe..
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana kijana ila kaa uelewe HAKUNA UTAJIRI WA NAMNA hiyo hizo hadithi za utajiri wa kwa waganga ni story ambazo zinakuzwa vijiweni na mitandaoni tu.Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa..inasaidia nini kwa mfu..leten konekshen tujitose ,, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe..
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mwambie ajitafakari mara70 hakuna Hela ya mwanaume ukapewa Bure hivivi. Watu wanatembea na mafuta sikioni oohoooooSi uongee na Nyamwi255 au Nikifa MkeWangu Asiolewe wakutumie laki laki mida hii kabla wikendi haikafika